Mi ni mwanafunz wa UDSM
nasoma education ya science ,,, wapi naeza pata shule ya kufundisha mathematics au Physics kwa hapa dar? na nina ufaulu mkubwa wa hayo masomo ... ila bodi ya mkopo...
Naaza na mimi... Nilisoma Ifunda Technical school na Tosamaganga high school wewe Je
Mzumbe Secondary
Ilboru Secondary
Kibaha Secondary
Tabora Boys Secondary
Tabora Girls Secondary
Msalato...
Wasomi kumetokea na dhoruba chombo kikaanza kujaa maji na kuzama na wewe Upo na mwanao na nduguyo na uwezo wako wa kuokoa ni mtu mmoja tu kwa elimu yako na hekima yako utamwokoa yupi Kati hawa...
Kwa matokea haya nitamsaidiaje huyu kijana? Naomba mawazo yenu afanye fani gani?
Civics D
English D
Kiswahili D
Biology E
Mathematical F
Chemistry F
Geo F
Physics F
History F
The University of Adelaide offers a scholarship program for commencing international students undertaking undergraduate study. More info ~> Adelaide International Undergraduate Scholarships (AIUS)...
The Admissions Office at the University of Gothenburg administers scholarships intended for fee-paying applicants, who have applied in the first admission round via www.universityadmissions.se for...
The Ampère Scholarships of Excellence provide excellent international students with the opportunity to pursue one of the eligible Master's programs offered at ENS de Lyon. More info ~> Site...
Westminster’s Full International Scholarships are the University’s most competitive scholarships that are open to international students from developing countries who wish to pursue a full-time...
kama we we ni mwalimu unayesubiri ajira haijalishi ni sayansi au arts na ulipata mkopo tambua grace period ya bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu iliisha 01/12/2016. automatically...
Wana jamvi,
Heshima kwenu. Leo nimepita karibu na bunge letu tukufu. Nimepigwa na butwaa kuona hili bango katika kama sehemu tatu: STRICTLY NO PHOTOGRAPH ALLOWED IN THIS AREA. Kweli hakuna...
Wakuu habari zenu? Mimi mdogo wenu naitaji msaada wa namna ya ku appeal mkopo; bado sjajua hatua za kufata na vitu vya kuambatanisha. Hivyo naombeni msaada wenu wakuu maana siku zimekaribia...
Kuna utofauti wa masaa Kati taifa moja na jingine mathalani Tanzania na Mozambique tumetofautiana kwa saa moja swali kwa nini mwaka mpya dunia yooooote sekunde Ile Ile kufumba na kufumbua kunakua...
Kuna rafiki yangu amepigiwa simu na mtoto wake anayetarajia kuanza mitihani ya kidato cha nne jumanne ya tarehe moja kwamba amtumie fedha elfu 80 kwa ajiri ya kuwahonga wasimamizi , sasa...
Mimi :- KWANINI USIJIAJIRI.?? serikali haina pesa za kuwaajiri nyie wote (hasa walimu wa art subjects).
Rafiki :- Hapana ndugu yangu shida siyo kujiajiri,Shida hatukupewa taarifa mapema huenda...
Kwenu walimu,
--Ushauri huu unakuja hasa baada ya tamko kuu la waziri wa elimu juu ya kusitisha kuwaajiri walimu wa kufundisha masomo ya sanaa mashuleni ni muda muafaka kwenu wa kukaa kitako na...
Wakuu mliosoma chuo cha Mzumbe na mnaosoma Mzumbe nataka kujuzwa kuhusu kurudia mwaka. Ishu iko hivi, ndugu yangu ali disco baada ya hapo aliandika barua ya ku appeal. Wiki ilopita alhamisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.