Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habarini wapendwa, Hivi inapotokea mtumishi wa serikali hususani mwalimu kuhamishwa, je gharama za kumlipa zikoje ?
0 Reactions
8 Replies
4K Views
What is the relationships btn archeology and history
0 Reactions
0 Replies
490 Views
Habari za muda huu wana-JF Naomba kufahamishwa juu ya hili, Je,mwalimu aliyesomea Stashahada ya Kawaida ya Ualimu Elimu ya msingi na baadaye akaja kusomea Shahada ya Elimu atakuwa mwalimu wa...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Mimi ni mwanafunzi niliehitimu kidato cha sita 2016 ila nilikosa alama D moja katika mchepuo niluokua nikiuchukua PCM , NIFANYE NINI KUTOAPLY DIPLOMA ?? Nimefika chuo inanilazimu nianze level 4...
0 Reactions
52 Replies
6K Views
Jamani angalieni akaunti zenu wameongeza majina nimelipiwa asilimia 98.5.
8 Reactions
333 Replies
47K Views
Wadau nina vijana wangu wawili wakuiume miaka nane na mmoja minne nataka niwatafutie Shule ya kugundua vipaji vyao maana huyu mmoja anapenda. Kuimba imba,huyu mmoja anacheza mpira .je kwa Tanzania...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Wakuu wakati tunasubiri krismas tujaribu kutafakari I chemsha bongo sisi magreat thinker Karibuni mabibi na mabwana
1 Reactions
88 Replies
8K Views
Nimesikia kauli nyingi zikitamka kwamba ukifeli shule ndio umefeli maisha hivi kauli hii unaichambua vip
0 Reactions
54 Replies
8K Views
Nilikua na ndoto kubwa ya kua IT Technician,lkn ndoto hy imekufa pale nilipomaliza diploma na kupata ufaulu wa G.P.A ya 2.9 ambapo kwa mujibu wa T.C.U ninaambiwa nimekosa kigezo cha kuendelea na...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Sifa za kujiunga na suma jkt au g4s security ni zipi ? Na wapi MTU anaweza kwenda ili kujiunga au aajiriwe ???
0 Reactions
11 Replies
10K Views
Wakuu kuna baadhi ya shule naomba nizitaje kama st getrude, herritage, lonica na nyingine kibao za binafsi nimeshuhudia wanafunzi wakifukuzwa na kuambiwa wakatafute shule nyingine kwa maana...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Jamani Mm Ni Mwalimu Ninadegree Nipo Kazini Kwa Miaka Mitatu Nataka Mwakani Nikasome ,sitaki Kusomea Ualimu Coz Maisha Ya Ualimu Ni Ya Kiboya,je Ni Kozi Gani Iko Poa Sokoni,masters Au First...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Waungwana nadhani muko wazima Naombeni munisaidie nataka kuandika Business Plan ila itakua ni non Profit lengo langu ni kutoa elimu juuu ya H.I.V and AIDS na Kuelimisha vijana wadogo kushuhulikia...
0 Reactions
0 Replies
669 Views
Habari zenu wakuu, Nadhani wengi mtakuwa mnakifahamu chuo cha taifa cha usafirishaji (NIT). . Binafsi jana nilikuwa nimempeleka dogo wangu akasajiriwe maana pale usajiri umeaanza tarehe 28/11 na...
2 Reactions
47 Replies
13K Views
Hello, Hope mnaendelea vyema, naomba kujua namna ya kutafuta au nitapataje scholarship nje ya nchi hii ya tz hasahasa nje ya Africa au hata ikiwa Africa yenyewe. Plz, mwenye ujuzi naomba...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa wale wadau wa shule za st. Kayumba enzi hizo, hapa namaanisha watoto wa wakulima ambao wamesoma shule huku wakienda na... kidumu ufagio jembe kuni mabingobingo maua nyasi nyuzi za katani...
1 Reactions
16 Replies
7K Views
Nimechaguliwa TEKU degree ya computer science mwaka huu ila sijaenda kuriport kwa sababu sijapata mkopo na ili nipostpone ni mpaka kufanya usajiri kwanza yaani kulipa ada Sasa je naweza kuomba...
0 Reactions
2 Replies
837 Views
Wadau nina cheti cha foundation course toka OUT. Sina fedha za ada kuendelea zaidi. je naweza kukitumia cheti hicho kuombea kazi. kina B ya Communication skills na C ya Development Studies...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimechaguliwa TEKU degree ya computer science mwaka huu ila sijaenda kuriport kwa sababu sijapata mkopo na ili nipostpone ni mpaka kufanya usajiri kwanza yaani kulipa ada Sasa je naweza kuomba...
0 Reactions
0 Replies
579 Views
Back
Top Bottom