Wakuu Habari za Leo?
Kwa anaejua naomba anijuze kuhusu wale wanaotaka kuhama vituo vya kazi katika mkoa mmoja na kwenda vituo vyengine katika mkoa mwengine Hususan kwa Walimu na Hasa uhamisho wa...
Habari zenu wana JF,
Kama title ya thread inavyojieleza,
Kwa wale wanaosoma kozi za ufundi ngazi ya Stashahada ya Kawaida(Ordinary Diploma) na mtaji wa kuanzisha miradi hawana au kwa wale...
Leo nimepitia mitihani ya binti yangu wa darasa la Saba, ( siko nyumbani muda mrefu) nimekuta somo la kiigereza hakuna, na kameniambia hatujafundishwa... sasa kabla ya kunza kuwaka nikaona ni...
Wakuu, naomba kujua kama ajira zilizofunguliwa mara baada ya hile miezi miwili ya mh. rais ni za kada gani na gani? zimekwisha toka hadi hv sasa make nilikuwa likizo kidogo!
Hii ni kwa wote iwe ndani ya chuo au kati ya Chuo..baada kumeet zile criteria zote za kufanya transfer,ni muhimu kuhakikisha programme unayohamia ina kiwango cha ada sawa na ile unayohama sababu...
habari wanajamvi!
mimi ni mwanafunzi niliemaliza kidato cha sita mwaka huu 2016.nimechaguliwa chuo DAR ila sijafanikiwa kwenda coz nimekosa ada.
mbali kukosa ada mwaka huu but mwakani nataka...
Habar wanajamvi!
naomba msaada kuzifahamu hizo kozi i mean kazi zake.Ipi rahis kupata kazi.mtu anaesoma hzo kozi anakkuwa kama nani katika ofisi msaada wadau.
ahsanten
Wakuu mwenye kujua haya mambo naomba anipe mwanga kuwa mitihani hii inafanyiwa wapi, na kwani ni lazima uifanye ndio upate scholarship? Je kama hapa kwetu Tz masomo yote yanafundishwa kwa English...
Maajabu Ya Mwaka Yametokea Baada Ya Mishahara Kutema Tar21.Kwanini siku zote hawafanyi ivo? kumbe ni dharau tu yanawezekana kipindi kigumu.ha ha haa ni xshider.
Habari jaman, mi ni muhtmu wa kidato cha 6 2014, bado naendelea kutafuta ushauri wa kitu cha kusoma chuo kikuu, sasa nina koz mbili ambazo kwa upande wangu nashindwa kuzpima uzito kati ya...
Natumaini wote mu wazima. Ninaomba kwa mwalimu aliyewahi kuandaa SCHEME OF WORK kwa kuchapa (typing) anisaidie. Kwasasa nahitaji za Olevel ( form 1,3 na 4 ). Naomba aliyetayari kunisaidia...
The Tanzanian-German Centre for Eastern African Legal Studies (TGCL) is offering scholarships for LLM and PhD Programme. These scholarships are open to candidates from the East African Community...
Habari zenu wakuu Mimi NA mwl WA history/kisw ninaesubir ajira yaan wadau najiulza HV JPM tulimkosea yaan ametufanya tuwe NA maisha magumu,mademu zetu wametukimbia KWA kukosa Ajira aisee naweza...
Applications are now being accepted for York University Scholarships. These scholarships are available to international applicants for pursuing the undergraduate program. More info ~> Scholarships...
The University of Helsinki Scholarships are now open for autumn 2017. These scholarships are intended for excellent students from outside the EU/EEA who want to do a master’s program at the...
Australia Awards Scholarships, formerly known as Australian Development Scholarships (ADS), provide opportunities for people from developing countries, particularly those countries located in the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.