Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Heshima nyingi na za dhati kwa wanajukwaa wote! Nina kijana wangu anasoma Mzumbe Chuo kikuu (Anasomea Sheria) Naomba kujua hii mitihani ya Supplementary je inalipiwa pesa na kama inalipiwa ni...
1 Reactions
58 Replies
9K Views
Habari wana Jf, Naomba kufahamishwa kama naweza kusoma upya somo la Biology O'level ili ku-replace somo la Geography kwenye cheti. Hii ni kwa sababu mimi nilisoma Shule ya Ufundi. Kwenye Shule...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Jaman wandugu mwenye uzoefu na ujuzi naomba msaada jinsi ya kupata schirship kwenye vyuo vya ufundi nheya nchi
0 Reactions
0 Replies
775 Views
kwa kila mwaka kumekuwa na ucheleweshwaji Wa makusudi Wa transcript na academic certificates suala linalopelekea vijana wengi waliomalizia chuoni hapo kushindwa kujitosa mapema kwenye pambano LA...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
katika chuo cha kilimo au SUA mpaka sasa kuna baadhi ya wanafunzi hawajapata bum kwa sababu zisizojulikana mfano kuna jamaa kaona jina kwenye allocation lakini wakati wa kusaini jina...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kumekuwa na sintofahamu kuhusu ajira za walimu nchini hasa kwa wale waliohitimu mwaka 2015, hii inatokana na matamko mengi yasioleweka kwa viongozi wakubwa waliopo serikalini, mfano viongozi hao...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Wakuu naomba kuuliza hivi! kati ya hizo kozi kama zinavyotolewa kwenye program ya Bsc.informatics.Je, ipi ina lipa kwenye soko la ajira ? na kama inategemeana nifafanulie maana mwaka huu nina...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
CHAMA CHA MAPINDUZI SHIRIKISHO LA VYUO VYA ELIMU YA JUU MKOA WA MBEYA. Kidumu Chama Cha Mapinduzi. Leo tarehe 19. 12. 2016 umefanyika mkutano mkuu wa dharula wa Shirikisho la Vyuo vya Elimu ya...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
MODES msiutoe uzi huu kuuchanganya kwingine plz. Mwezi january 2013 nilisema kupitia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kuwa "TUNATAKA RAIS AJAYE AWE AMESOMA SHULE ZA KATA" maana atakuwa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Jaman naombeni msaada anayejua shule nzuri ya serikali ya wasichana olevel iwe ya boarding mkoa wowote ilmradi iwe nzury kitaaluma Thanks!!!!!
0 Reactions
1 Replies
771 Views
jamani mimi nimechaguliwa chuo cha ualimu wa masomo ya sayansi kreluu tc lakini nmebahatika kupata saponsor ship kutoka serikalini na nimeandikiwa kwenye profile langu nacte . lakini nimejaribu...
1 Reactions
1 Replies
653 Views
Habarini wanajukwaa hili la elimu? Kwa yeyote mwenye soft copy ya vitabu vifuatavyo naomba anisaidie, yaani anitumie. 1. Vanishing Shadows by Namige Kayondo 2. Divine Providence by S.N.Ndunguru 3...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
habarn wadau, naombeni msaada kwa mwenyekuvijua vyuo vya ualimu vilivyopo mkoa wa Arusha, ualimu kwa shule za msingi, viwe vya selikari, kwamwenyekuvifaham pls antajie
0 Reactions
0 Replies
695 Views
what happens as sweat dries on the skin?
0 Reactions
4 Replies
665 Views
Congratulations we made it! Kwa namna ya pekee nawashukuru wote Kwa tulivyoshirikiana katika kufanikisha uombaji wa Hizi scholarship. Deadline Kwa masters ilikua juzi Dev 15, 2016. Taarifa...
1 Reactions
1 Replies
832 Views
NDALICHAKO WEWE NI PROFESA BWANA Hebu kaa tafakari hivi kodi iliyokuwa ikiwasomesha imeenda bure?.... Hebu tafakar mlipo kuwa mnasomesha mlitegemea wakimaliza wakachome mahindi?.... Njoo na...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
MTIHANI WA URAIA. Instructions. 1. Jibu maswali yote. 2. Povu haliruhusiwi kwenye chumba cha mtihani. 3. Hisia za aina yoyote hazitakiwi. SERIKALI YA CCM IMEISHIWA PUMZI???: Si maneno yangu bali...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Wahadhiri wa masomo ya sanaa wapata changamoto mpya........wengi wahoji kama hizo kozi zinawasaidia kujiajiri!!!!!?
1 Reactions
0 Replies
884 Views
wakuu kwenye tangazo la ndalichako sijaona sehemu imeandikwa walimu wa masomo ya commerce ..book keeping na economics ..kwaio na wao wamepigwa panga kudadeeeki ....... it is a can't believe event...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Mambo zenu jamani, Anayejua wapi naweza kudownload free kabisa vitabu vya Marketing anijuze,especially vya kotler,armstrong na wengine maarufu bila ya longolongo za kujisajili. Pia anaejua...
0 Reactions
8 Replies
979 Views
Back
Top Bottom