Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Wakuu, tumesikia kesi aliyofunguliwa mwasisi wa JF. ukiitafakari kwa kina makosa aliyoshtakiwa utabaini kuwa serikali inahofu kubwa hasa kwa vijana kuungana kuyapinga yale wanayoyafanya. baadhi ya...
2 Reactions
3 Replies
853 Views
Chuo kikuu huria (open university) kimeendelea kuwasajili wanafunzi waliomaliza foundation course ambayo ni kinyume utaratibu serikali imepiga marufuku wanafunzi wa foundation course kusoma...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mdogo wangu uliyepo chuo first year hii kozi nakushauri achana na CHUO sasa kabla hujachelewa na kuja kujutia mda wako. Hii degree kama hakuna ajira serikalini ni ya mwisho katika solo la ajira...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hebu pitieni Hapa jamaniP.O.BOX 1923 Dodoma - Tanzania. Tel: 026 232 2848. Fax: Email: ps@tamisemi .go.tz. Website: www.tamisemi.go.tz. Online Teachers Employment Application System-OTEAS...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Ninawasalimu wana jamvi wote wa JamiiForums, Ni majuzi tu nilibahatika kwenda Kandoto sekondari 19, Novemba 2016. kulikuwa na mahafali ya kidato cha nne. Wakati sherehe zikiendelea nikaona vitoto...
8 Reactions
122 Replies
14K Views
Wana JF kwa anajua app nzur za android ani fahamishe
0 Reactions
1 Replies
812 Views
Nimekuwa kufarijiwa kwa muda mrefu kuwa nivumilie ajira za walimu zitatoka mapema. Ila sasa mpaka nimekata tamaa maana wanasiasa ni kawaida yao maneno mengi mwaka unaisha tunaingia mwaka mwingine...
11 Reactions
391 Replies
66K Views
Ndugu wana jf habari za wakati natafuta shule ya secondary mwanza yenye five na six ambayo ni day na yenye ada nafuu na isio na jina kubwa kitaifa mchepuo EGM Asanteni
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Serikali kupitia naibu waziri wa kilimo Bw. Godfrey Zambi imesema kuwa kwa sasa walimu waliopo wanatosha na haina mpango wa kuajiri walimu wapya kwa mkupuo ifikapo mwaka 2015 ila itaajiri tu...
2 Reactions
197 Replies
82K Views
kusema ukweli nilisubiri post kwahamu sana ila kunipanga serengeti nendeni wenyew mkafundishe siendi ng'oo bora nibaki mjasiliamali,tamisemi bhana mm niende Serengeti watoto wenu bank kuu,tra...
3 Reactions
125 Replies
11K Views
Kwa yeyote ambae aliechaguliwa na anaekijua hiki chuo naomba anieleweshe maana mdogo wangu kachaguliwa humo ila anaogopa akimaliza kama hajaajiriwa ndio amekaa nyumbani maana hakuna kujiajiri...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Naomba kujua kama naweza kumpeleka mtoto kuanza kidato cha tano shule ya serikali. Alishinda lakini kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu sikuweza kumpeleka. Naweza kumpeleka sasa?
0 Reactions
6 Replies
941 Views
Wote tumesikia tangazo la Tamisemi juu ya kuajili walimu wa Sayansi na Hesabu tu, Najua hili litazua mijadala ambayo itapelekea serikali kuwachukua kidogo sana walimu wa Sanaa Ili kukwepa...
6 Reactions
21 Replies
3K Views
Habari zenu wandugu, naombeni kwa wanaojua center nzuri kwaajili ya kurudia mtihani wa kidato cha nne maeneo ya tazara, buguruni au kariakoo, kama kuna mtu mwenye kujua center nzuri zilizopo...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wanajamvi, Poleni kwa mkasa wa Mkurugenzi wetu wa JF. Nimepita sehemu mbalimbali hapa nchini kutafuta fursa za kufungua vituo vya day cares.Nimesikitishwa kuwa Wizara haina vigezo vinavyotumika...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habar wana jamii Mimi ni mwanafunzi wa kidato cha tano nilikuwa naomba msaada wa shule za private ambazo in za A level kwa mkoa wa tanga hasa tanga mjini gharama za ada isizidi million 1.5 mwenye...
0 Reactions
15 Replies
11K Views
f.c.k.u
0 Reactions
19 Replies
1K Views
Wakuu mdogo wangu kasomea fani ya ualimu wa science kamaliza mwaka 2015,wameambiwa watume nakala za vyeti wizara ya elimu kwa ajili ya uhakiki wa ajira mpya. Nipo hapa namsaidia kutuma email...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Km kwa sasa dvtion three wa kidato cha sita ana tupiwa certificate na wa o-level wenye dvtion 3 pia kisa kutofikisha GPA 4 na wanatoa chance ya diploma sec bt chache sana kulingana na wadau je...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom