Mkuu wa chuo cha Eden Hills College,anatangaza nafasi za walimu wa Journalism and Mass Communication.
SIFA:
+ Awe na Bachelor au Masters ya Journalism /Mass Communications
+Awe na uwezo wa...
UKIWA CHUO TEGEMEA YAFUATAYO
1. Kupata room mate ambaye hamuendani itikadi
2. Kupata demu/msela mpya na kumsahau uliemuacha nyumbani 👬 👬
3. Kuwaza kuwa na smartphone...
Habari zenu ndugu,Leo nimeamka na kuwaza mengi sana lakin nihili kubwa ambalo limenifanya nikumbuke mbali zaidi,kipindi nikiwa nachukua shahada yangu ya kwanza nikiwa chuo nilikutana na watu...
Mimi ni mwanafunzi mwaka wa kwanza wa udaktari hapa Hubert Kairuki memorial University HKMU.......sijawah panga kusoma katika hiki chuo kutokana na ada yake kua kubwa lakini kutokana na passion...
Wakuu habari zenu humu, mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu mwaka wa tatu sasa tatizo linalonisumbua ni kwamba sina msingi mzuri katika maswala ya presentation tangu o-level hadi hapa chuo huwa...
kuna vijana wamefanya transfer ya vyuo vikuu mwaka huu lakini mambo yamekuwa ndivyo sivyo .hapa n kwamba chuo kimewakubali lakini majina ya TCU kuja katemwa na ashalipia ada kila kitu .TCU wenyew...
*MAOMBI YA SCHORLASHIP - CHINA*
>Kwa wale ambao mngependa kujiunga na masomo ya masters na PhD nchini China kwa mwaka wa masomo 2017/18 yaani kuanzia mwakani mwezi wa tisa ni vyema kuanza...
Katika jambo linalochanganya wazazi ktk kipindi Kama hiki ni pale mtoto anapokuwa amefaulu kwenda kidato cha kwanza.
Wazazi tunachanganyikiwa baada ya kuona shule aliyo pangiwa mwanao baada ya...
Wandugu kwanza napenda kutanguliza shukurani za dhati kwa wanajukwaa wote, kama heading inavyoeleza hapo juu mm ni nwalimu wa chemistry & Biology natafuta shule ya kufundisha hayo masomo tajwa...
Habari ndugu zangu, bila kuchelewa naombeni chaguo moja kati ya hayoo hivi kati ya hizo courses mbili ipi ni best kwenye soko la ajira asanteni naombeni maoni yenu tafadhali..
Kwanza nachukua fursa hii kumpongeza waziri wa elimu prof Ndalichako japo najua wachache watanielewa kutokana na mtazamo hasi zilianza kujengwa kwake. Ukweli ni kwamba sisi watanzania kwa sehemu...
Ukiambiwa utengeneze kitu ambacho mtu yeyote akikiona.,wakati anahuzuni afurahi gafla na akikiona wakati ana furaha ahuzunike gafla utatengeneza nini? Au kitu icho ni nini? Karibu Sana upate vocha
Habari wakuu, natafuta mawasiliano na mwalimu wa musoma tech, itapendeza akiwa mkuu wa shule au mtaaluma au yeyote yule. Mwenye mawasiliano hayo anitumie kwenye namba 0753064252 au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.