Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
wadau walosoma zamani kidogo na hata sasa ni shule gani enzi hizo zilikua zikisifika kwa ugomvi na migomo... Binafsi nilikua nasikia kuhusu milambo,kibiti na tambaza mpaka nikatamani japo nisome...
0 Reactions
0 Replies
569 Views
Naomba kuuliza nimesikia kua ajira za mwaka 2016-2017 lazimq uwe na gpa ya 3.8 sawa kama ni kweli naomba ufafanuzi kwa mwenye taarifa kamili na kwa wale wenzangu na mimi ulipewa mkopo na...
0 Reactions
53 Replies
9K Views
Leo hii ukimuuliza mwanafunzi yeyote wa O level,A level ndoto yake ni ili awe nani au anasoma ili afanyaje 95% watakupa jibu wanasoma ili aajiriwe kitengo chochote aidha serikalini au sector...
5 Reactions
16 Replies
3K Views
Naomba mwenye namba ya Bwiru girls anisaidie. AU kama kuna mwalimu wa Bwiru girls tuwasiliane PM nina shida ya mawasiliano na H/Mistress
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Natafuta tution ama mwalimu anifundishe topics za control accounts, single entry nipo serious namba zangu 0716 866 241 napatikana dsm nipo seriously mahala popote nitakufuata,
0 Reactions
1 Replies
587 Views
KTH Royal Institute of Technology is a university in Stockholm, Sweden. KTH was founded in 1827 as Sweden’s first polytechnic and is one of Scandinavia’s largest institutions of higher education...
3 Reactions
3 Replies
848 Views
Habari wanajamvi! Mimi ni kijana niliemaliza form six mwaka huu 2016. Nimefanikiwa kufaulu ila tatizo kubwa ni uchaguaji wa kozi unanipa hali ngumu mpaka kufikia kujilazimisha...
1 Reactions
49 Replies
21K Views
Ebu! Nifafanulieni hizi ajira zilizotoka zinawahusu wakina nani tu?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ubaguzi huu wa kozi za walimu utaipeleka pabaya Elimu yetu......hata makazini walimu wengine watajiona bora kuliko wengine.
0 Reactions
1 Replies
527 Views
Jana jumatatu tulifanya uchaguzi wa raisi wa chuo ambao ulifanyika Kwa amani Na kufikia tamati saa kumi kamili jioni Na muda wa saa nne usiku matokeo yalitoka yakionyesha bwana Edward Kunyara...
2 Reactions
43 Replies
5K Views
Wadau nahitaji kusoma kitabu cha The End of Power my Moses Naim kabla mwaka haujaisha Mwenye Soft copy aiweke hapa tafadhali Natanguliza shukran
1 Reactions
0 Replies
543 Views
Mimi ni mwanafunzi mwaka wa kwanza wa udaktari hapa Hubert Kairuki memorial University HKMU. Sijawahi panga kusoma katika hiki chuo kutokana na ada yake kuwa kubwa lakini kutokana na passion yangu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Applications are for the students from developing countries like Tanzania. Scholarships are offered for training and masters programs at a Flemish university or university college in Belgium. More...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Commonwealth Scholarship Commission in the United Kingdom (CSC) in partnership with UK universities offers Commonwealth Shared Scholarships for students from developing Commonwealth countries...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
The university of Tsukuba offers a range of different scholarship programs for international students to help cover tuition fees or living costs to study in Japan. Students from developing...
1 Reactions
0 Replies
696 Views
U.S. Department of State is inviting applications for Global Undergraduate Exchange Program (Global UGRAD). The program provides one semester scholarships to outstanding undergraduate students...
0 Reactions
0 Replies
745 Views
Mliochaguliwa hizi degree programs pale UDSM, mkawe makini, vingnevyo mtaisoma number 1.civil engineering 2.electrical engineering 3.mechanical eng 4.mining eng 5.physics 6.economics 7.statistics
3 Reactions
67 Replies
11K Views
Mbona nina muda mrefu sasa sijaona watu wakibadilishana vituo......wadau kuna nin katka hilo[emoji15] [emoji15] [emoji15]
0 Reactions
0 Replies
792 Views
Kumekua na wimbi kubwa la nyuzi umu jukwaani zinazohusu GPA na AJIRA. Ambazo ukichunguza kwa umakini hazina ukweli ndani yake. Ebu Acheni kupospt mada za namna hii wengine umu hatupo vizuri...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Wametukataza tusivae majoho mpaka dgree apoapo wanatuambia aturusiwi kwenda chuo kikuu, apo ayo majoho tutayavaa lini sasa..?
4 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom