Baada ya Wizara ya elimu kupitia NACTE kukagua vyuo na kufungia baadhi ya vyuo, zoezi hilo kuhamia Shule binafsi kupitia ukaguzi na uthibiti wa ubora wa shule.
Kila nikizifikiria shule...
Nikiwa ni mwanafunzi niliyesomea shule ya kata, ambapo kutokana na Ukosefu wa walimu wa sayansi, Headmaster aliamua kufuta masomo ya sayansi, na hivyo shule yetu kusajiliwa kwa masomo ya arts tu...
Ndugu habarini za asubuhi, naomba kueleweshwa kwa wale waliokwisha kuhitimu chuo kikuu, eti G.P.A ya mwisho wanachukua ile ya semister ya mwisho ya mwaka wako wa mwisho au wanachukua jumla ya...
Wahusika tunaomba kujua kwa nini KWA CERTIFICATE IN ACCOUNTANCY) , (sijui kozi zingine) chuo kinafunga mwezi huu December 2016, lakini kufungua ni March 2017. Calendar hiyo imekaaje tafadhali.
Habari za asubuhi wadau,nimetafakari sana juu ya mambo yanavyokwenda katika sekta yetu ya elimu,hususan kwa waalimu wa science.
Baada ya tafakuri yangu kwa muda mrefu,nimegundua kuwa,waalimu wa...
Wakuu NBAA wametoa matokeo ya pepa nzito zilizofanyika May 2015. Ni suala la aibu kwa sasa ukiingia website ya NBAA unakutana na kituko web haifungiki ''Account Suspended''.
Jamii Forums ni kila...
Habari zenu wakuu!? Ukipitia katika website ya tcu utaona habari mpya inayoonesha qualified and non qualified students wanaosoma diploma ya education st Joseph.
Kwanza mwanzoni ile ilikuwa ni...
watu wanaosoma course za arts mfn, bussiness au ht sanaa na maigizo nao wamekua wakiwadharau walimu( science au arts) sion msing wa kufanya hivyo kwani mwl anasoma vitu vya kitaalam sn, mfn mwl wa...
Wadau nimesikia matangazo clouds FM ya Kampun ya African Microfinance LTD kuwa inatoa mikopo kwa wanafunz wa elimu ya juu waliokosa mkopo. Naomba ufafanuzi juu ya hii kampuni maana ni muanga wa...
Wapendwa mm ni mwenyeji wa dar, lakini kwa sasa nipo Bukoba nahitaji kurudia mitihani anaefahamu kituo kizuri cha kurudia mitihani naomba anisaidie kwa hapa bukoba
Habari zenu
Naomba kuuliza kwa wanaomjua Dr manoko yukoje hasa kwenye mitihani anaefundisha botany..taxonomy of higher plant maana coz ni ngumu kwa wengi wetu.....
kama kichwa kinavyojieleza naomba kupata kitabu kiitwacho PRODUCTION ECONOMICS Theory with application kimeandikwa na John P. Doll & Frank Orazem Ntashukuru sana
Nawasilisha
c.c Chief-Mkwawa
Guidance
Notifiable diseases and causative organisms: how to report
From:
Public Health England
Part of:
Notifications of infectious diseases (NOIDs) and Health emergency planning
First...
Mbunge wa Viti maalumu (CCM), Aysharose Mattembe, kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu (UNFPA), ameandaa kampeni kwa vijana mkoa wa Singida juu ya elimu ya afya ya...
Ninajipanga Ili Mwaka Huu Niweze Kufanya Mtihani ISACA Ili Niwe CISA, Kwa Mtu Yeyote Aliyewahi Kufanya Huu Mtihani, Naomba Kujua Challenges Zake Na Mengineyo Ambayo Yanaweza Kunisaidia.
True Ink Associates would like to Announce that CISA
(Certified Information Systems Auditor) Review Class is scheduled
to commence on Monday 28/11/2016, Dar Es Salaam City Center,
Golden Jubilee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.