Wakuu habari zenu,
wakati tunasign boom chuoni NIT baadhi ya wanafunzi tumeambiwa pesa zetu hazijafika zote(720000). Wametuambia kuwa tusubiri hayo majina yapelekwe tena HESLB halafu watatuongezea...
Habari wana JF.
Mimi ni mtanzania ambaye nimepata bahati tu ya kusoma china. Kitu kinachonisikitisha ni kwamba watanzania wengi tunakosa habari ( information) za mambo mbalimbali. Watu wa mataifa...
Nikiwa mzalendo wa Nchi hii hasa kukunwa Na Serikali yangu Juu ya Vihiyo wa Elimu nimeamua kuwataja wale wote ninaowafahamu iwe Kwa kusoma nao au kufanya Kazi nao waliomaliza vyuo Kwa kutunukiwa...
Habarini wandugu,napenda kuuliza kwa wansosoma hiyo course unasoma masomo mangapi ya kufundishia? Na inahusisha masomo ya sc km phy na math,au ni art ? Ada sh ngapi kwa mwenye masomo ya sc ktk hyo...
....HIVI NDIVYO NITAKAVYOMUEPUSHA MWANANGU NA KUISOMA NAMBA NA MAMA NDALICHAKO........
Akiwa na umri wa kumuanzisha shule Nursery nitampeleka na nitamlipia ada kama kawaida.....
=>Mwaka...
Habarini.
Naomba niulize.
Kama joto la ardhini huwa linaende juu (mfano angalia joto huwa linaelekea kwa juu barabarani, kwenye moto mkali...juu kunakuwa na joto kali linaloambatana na moshi...
Kwa deni ambalo nadaiwa nahisi nitafika miakaa arobaini litakuwa halijaisha kabisa,sasa nashindwa hata kuelewa aisee na hali hii ngumu.Haya tumuachie Mungu
Hi you all
Wakati wenzetu wanaumiza vichwa na kutafakari ni nini kiingizwe kwenye ubongo wa mwanafunzi sisi tunatafakari ni nini kivaliwe kwa kila hatua mwanafunzi anayomaliza.
Ujasiriamali unafundishwa karibia kila shule/chuo kwa lengo la kuwafanya wahitimu waweze kujitengenezea ajira/kujiajiri kwa namna mbalimbali. Hivyo karibu kila mhitimu wa chuo anaelewa au amesoma...
Najua kuna wale wanaosoma kwa mfumo rasmi na wale wasiosoma mfumo rasmi sasa ningependa kufahamu kwa kutumia wataalamu waliopo humu ni taaluma gani ambayo unaweza kujiajiri maana kusubiri...
wakuu nilikuwa nahitaji msaada wa halaka wa kujua elimu ya Uganda kwa upande wa kidato cha tano na sita uko vipi kwani nimetry kuangalia post za zamani hapa jamii forum pamoja na information...
Habari zenu wanajamvi,
Naomba kufahamu kama kwa wanaorudia mitihani ya kidato cha nne ni lazima kurudia masomo yote. Yaani hakuna kuchagua kama alivyosema Waziri wa Elimu, Prof Ndalichako...
The deadline for this kind of scholarship is early April, 2016. Remember you need to have passport in hand before the start of filling the online forms.
Regards,
agent_china@yahoo.com
International Scholarships For Tanzanians, Swedish Institute
Swedish Institute
Masters Degree
Deadline: 16 Jan/10 Feb 2017
Study in: Sweden
Course starts August 2017
Scholarship description...
Kwanini sisi Watanzania tunasoma ili tuajiriwe? Nimejiuliza tufanyeje kutatua tatizo hili maana tukiambiwa tujiajiri tunaanza kulalamika kwa sababu tumekariri ukisoma lazma uajiriwe.
Mimi...
Full Diploma Scholarships for Developing Countries in Africa, 2017
London School of Hygiene & Tropical Medicine is offering full scholarships for doctors from low- and middle-income countries...
Wakuu ni Mtazamo kua simu zipigwe marufuku darasani kwa wanafunzi wa vyuo vikuu simu ziachwe hostel kwa wale wa mtaani waache mavyumbani. Ni Mtazamo lakini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.