Habar zenu wana jamvi..
Mimi ni mwanafunzi ambaye nilimaliza kozi ya Foundation ya Open University na kufaulu. Pia hadi sasa tayari chuo kimeshaniruhusu kuanza mwaka wa kwanza degree, lakini...
Kwa sababu hua mnasahau, miaka hiyo mtapoozwa ili ikifika 2020 mbadili mawazo yenu.Nalisema hili kwa wazi kabisa na anayebisha asubiri muda ufike abishe.
Kwa kipindi hiki mtahenyeka sana na...
Six online distance learning Masters scholarships are available in the field of Ophthalmology for students from Africa, South Asia, Caribbean Islands, Pacific Islands, Central and South America...
Applications are invited for Lund University Global Scholarship available for the citizens of a country from outside the EU/EEA (and Switzerland). Students must have applied for Bachelor’s or...
Habarini...!!! Nimeona kwa Nchi za Afrika ,South Afrika ndio nimeona nchi yenye Gharama nafuu kwa sisi watanzania kusoma kule..kama Nitakuwa nakosea naomba mnitajie nchi nyingine tofauti na...
Jamani naombeni msaada wa tuition ya secondary EGM ...nasikia inapatikana mapambano Mwenge, Je ikoje na gharama zake hata angalau kwa estimate maana mimi secondary nimetoka miaka 23 iliyopita.
Habari za saa hizi wakuu naulizia driving school nzuri iliyoko Temeke Dar mbali na VETA, nahitaji kujua bei zao na muda ambao mtu anaweza chukua mpaka kumaliza mafunzo ya kuendesha gari ambayo ni...
Hivi issue ya uhamisho ya watumishi wa umma imekaaje, sijawai kusikia tamko lolote, je na michakato ya watu wakuhama bado inaendelea?
Tafadhali mwenye updates au majibu
Kwa walimu waliosoma hapa au wanafunzi wanaotarajia kwenda january hii naomba kujua mazingira ya chuo na sehemu kilipo mpaka kufika chuoni na pia naomba kujua Sheria zao kwa diploma zipoje wakuu...
Habari zenu Wakuu,
Nilikua mwanafunzi wa chuo kikuu,mwaka wa tatu(2016/2017),kuna kosa nilifanya mwaka wa pili(examination irregularity),imepelekea kudisco chuo,naomba kwa anayefahamu kama...
Jamani mimi nilikuwa nasoma UDOM fani ya education. Nilipofanya mtihani wa UE mwaka wa pili sikurudi kumalizia mwaka wa tatu ni kama nilirogwa na chuo hawakupata taarifa yoyote, nilikuwa nimalize...
Serikali imesema kuendelea kuwepo kwa udanganyifu wa mitihani kunatokana na kushuka kwa maadili ndani ya jamii ambapo walimu, wazazi na wasimamizi wa mitihani hufanya hivyo ili kusaidia...
Mwenye ufahamu kuhusu kozi hii, naomba anidadafulie inahusu nini? Na inatofauti gani na BCom nyingine? Kwanini ni kozi ya muda mrefu sana kumalizika tofauti na BCom zingine za miaka mitatu mitatu...
Tujadili hili suala mana kuna mkanganyiko wa uletaji habari humu. Na je wanaposema wataajiri mikupuo miwili, ina maana kuna watakaochinjiwa baharini? Na huo utaratibu mpya utoaji ajira tofauti na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.