habari wanaJf!!!
kama wengi tunavyojua mpaka sasa hakuna mwanufunzi wa kutokea diploma kapata MKOPO aliye maliza mwaka huu na kufanikiwa kuunga chuo kikuu.
kutokana na hili jambo kuendelea...
Kuna kijana wa rafiki yangu kachaguliwa kujiunga kidato cha kwanza shule ya sekondari ya wavulana bwiru, cha kunishangaza shule ile haina soma la physics. Hii imekaaje? Akimaliza kidato cha 4...
Leo katika kupitapita nikakumbana na mwito wa JKT kwa wale waliomaliza form6 mwezi may 2016 na hawakuchaguliwa kwenda chuo. Cha ajabu kuna kijana namfahamu anatakiwa aripoti december 1-5 2016...
Habari za kuamka wakubwa zangu na wadogo zangu
Kuna msemo usemao, “Fursa ziko kila mahali zimelala tu ovyo ovyo zikisubiri jicho la kuona zionwe”. Ndugu, najua muda mwingi umekuwa unafikiria...
Good evening majority! My topic today is citizens and citizenship. A person who belongs to any country is possessing his/her name for instance
Tanzania =Tanzanian Kenya=Kenyan
Madagascar...
Hivi unawezaje kuepusha kuvusha na kusinzia darasani. Yaan class nisiposizia kweny kipindi bas itakua navusha. Najitahid tahd kufuatiria mara ghafla nmevusha au nmesinzia. Msaada
(Kama hii...
mm naona serikali inapoteza pesa nyingi kusomesha asilimia kubwa ya wanafunzi wasio na moyo wa kusema.Elimu bure ililenga kuwasaidia watanzania wa kipato cha chini ambao walishindwa kusoma...
Nimepata kumfahamu Mwalimu huyu shujaa mwenye hulka yenye kusisimua. Toka anasoma shule ya msingi mpaka Sekondari alionyesha uwezo mkubwa sana darasani, mbali ya kuwa bright pia alikuwa na talanta...
Mwaka huu serikali imetoa mkopo kwa wanachuo 25000 wakati mwaka jana waliwapa mkopo wanachuo 48000. je ni kwa sababu gani?
A;Zilikuwa mbwembwe za uchaguzi ili wapate kula.
B;Baada ya mwaka mmoja...
Imekuwa kasumba sasa, licha ya miundo mbinu na huduma za kijamii, kuonekana kutokuwa sawia na zile za mijini,
Pia huduma za elimu za vijijini zinaonekana kusahaulika, misaada ya kielimu mingi...
Kuna ndug yangu alimaliza kidato cha 4 2015 akapata div 4 ya points 26; Phys F, Math F, Bios D, Hist D, Kisw C, Civics C, Geo D, English D na Chem D.
Plan zake ilikuwa akitaka kusoma PCB au CBG...
Applications are invited for China Pharmaceutical University Jasmine Jiangsu Government scholarships provided to students of a country other than the People’s Republic of China. Scholarships are...
The Global Development Institute offers Distance Learning Leadership Scholarship at the University of Manchester. Applicants must be a national of and resident in a DAC-listed least developed...
Do you want to study your master in Sweden? The Swedish Institute Study Scholarships (SISS) application process opened Yesterday with a first application step 1 December 2016 – 16 January 2017...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.