Habarini wapendwa wa Jf, kwanza naomba kuwashukuru wadau wote wa masuala ya elimu kwa michango na mawazo yenu mazuri ambayo mmekuwa mkiitoa pale mtu anapohitaji msaada wa jambo lolote linalohusu...
Ndugu wana jf kuna dogo langu anatamani xana kuja kufundisha secondary lakini kutokana na matokeo yake hakupata shule nilijaribu kumtafutia private lakini gharama ikawa kunmbwa na anapenda sana...
Rejea kichwa cha habari hapo juu...nina mdogo hapa alihitimu chuo cha ualimu ngazi ya Astashahada (cheti)...alituma maumbi nacte kuomba kuendelea na ngazi ya Stashahada...ila majibu yanrudi...
Kama wewe ulivyokuwa mdogo kula kulala tu nyumbani ulishindwa kusoma na kufaulu mtihani je, ukubwani ukiwa na majukumu mengi akili zilitoka wapi? Kama kweli akili bado unazo kwanini usiende...
Habari za muda huu.
Calculator aina ya CASIO original,toleo jipya inauzwa kwa bei nafuu haijatumika,pamoja na kitabu cha Chemistry 2(Chand).
Bidhaa zote bei ni maelewano.
Nipo KUNDUCHI
Wengine hapa walishaanza kuulizia boom la pili lakini kuna watu mpaka leo majina ya kusaini hskuna hasa 1st year Tutakufa na njaa aseeeh mtu unakosa hata 10 mfukoni afu unajiita upo sokoine...
magufuli raisi wetu waangalie na watoto wetu sua maana tumechoka kuombwa pesa wakati walipewa mkopo lakini cha ajabu mpaka sasa wanadai hawajapata pesa yao ya kujikimu tangu wamefungua chuo ebu...
Dunia imegeuka geukieni elimu dunia kwa watoto wenu wa Kiislam kwa vitendo. Geuzeni madrasa zenu kuwa vituo vya elimu ambako watoto wanafunzwa masomo ya dini, hesabu, english, sayansi, historia...
Habari za asubuhi wakuu.
Sina uelewa kuhusu points zinazohitajika kusoma kozi za afya kwa wanaotokea form six.
Naombeni mnieleweshe hapa, nina rafiki yangu kamaliza form six anataka asome higher...
Habari za asubuhi wana Jukwaa,
Nina mdogo amemamliza F4 ndio anangoja majibu; Nilitaka afanye mitihani ya SAT(Scholastic Aptitude Test) . Naomba muongozo kwa yeyote anaye jua kituo cha...
Nakiri kwamba nilijiunga chuo kikuu kwa cheti cha F4, baada ya kufaulu mtihani wa kujiunga (Mature Age Entry Exam). Sijawahi kusoma F5 & F6
Sikwenda A level wakati huo sababu ya sera ya serikali...
Habarini wana JF,
Nimeamua kuanzisha hii thread maalum kwa ajili ya wadogo zetu na kaka zetu ambao walichaguliwa kujiunga na masomo ya elimu (bachelor degree and masters) lakini kwa bahati mbaya...
Habari wana jamvi,..naomba kupata list ya best international school zilizoko jijini Dar-es-Salaam zenye boarding kwa primary level. Kama pia utaweza kulist out Ada yake pia ntashukuru. Shule yenye...
Become a CCTV camera installer/Technician just by attending this short course provided by Dsat Technology.
Hello!
This is the event that i have been telling you about,it is near to start...
Amani iwe kwenu,
Kila kukicha baadhi ya watu hawaachi kulalamikia na kushtumu baadhi ya maamuzi yaliyofanywa na yanayofanywa na viongozi wetu hasa Dr.Magufuli na Prof.Ndalichako hasa yale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.