Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Nianze na hili la mfumo wetu wa elimu maana kama tukiliacha liendelee hivi ni matarajio yangu hakuna kipya tutakacho kitarajia katika elimu..... Mfumo wetu wa elimu upoje? Kwanza mfumo wa elimu...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
pichani ni mtoto akionyesha akionyesha tunzo ya shahada aliyopekea kwa niaba ya mama yake aliyefariki dunia miezi michache iliyopita Novemba 25, 2016 Chuo Kikuu Cha Sokoine cha Kilimo kilikuwa na...
5 Reactions
16 Replies
5K Views
Tangu Mh Rais wetu mpendwa Jpm aingie madarakani na kuanza kuitumikia Tanzania,nimejaribu kufuatilia teuzi au uteuzi wake katika nafasi Mbalimbali nimeona amechukua sana Dr,PROFFESOR na Wahandisi...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
TCU wamefanya marekebisho kuhusu tangazo lao la hapo awali kwa kusema uwe na principal pass mbili walau zifikie point 4 kwenye masomo mawili. Ina maana at least uwe na DD,CE,BE,AE na zaidi ya hapo.
9 Reactions
149 Replies
98K Views
Hongera sana mama, kwa kukalia kiti na mamlaka ya kuamua au kukataa kitu furani ukiwa wewe kama wewe lakini siku zote binadamu hata ungekuwa na elimu kubwa kiasi gani, aimaanishi ndio unaweza...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Napenda kutumia jukwaa hili kuwakaribisha wahadhiri wenzangu popote mlipo tuweze ku-share changamoto zetu, maendeleo ya elimu hasa ya chuo, ushauri kwa wanafunzi wa vyuo, vituko tunavyokutana...
2 Reactions
29 Replies
3K Views
Habari wana Jf Katika swala la fursa za kutoka kimaisha na kujiajiri Diploma gani nzuri kati ya hizi? Naomba sababu katika kutetea hoja yako 1.Clinical Officer 2.General Agriculture
1 Reactions
46 Replies
9K Views
Wanajamii naombeeni kuuliza hvi tarehe ya mwisho ya kukata rufaa bodi ya mikopo kwa waliokosa mara ya pili ni lini
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari za muda ndugu zangu! Kunakitu sijakifahamu bado, katika maswala yakazi ukimtaja daktari ama nesi ni watu wanao fahamika kwakazi zao ila mmi sijajua kuwa watu wale wanaosoma community health...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) kimeanza utekelezaji wa agizo la Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako, kwa kuwazuia wahitimu wa ngazi ya cheti na...
0 Reactions
25 Replies
8K Views
Hivi ni collage gani hapa dar ambayo inatoa mafunzo ya video production na kwa gharama nafuu?
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Dar es Salaam. Shirikisho la Wanafunzi wa Elimu ya Juu (TAHLISO) imevikumbusha vyuo vikuu nchini mambo wanayotakiwa kufanya ikiwamo kuelewa mikataba na nafasi ya wanafunzi katika masuala ya malipo...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Kuna wanafunzi wanalalamika, kwa nini wanapoomba au ku-apply kwenye vyuo na mitandaoni wanaambiwa hawana vigezo ili hali walifaulu kwa kupata Division III? Au ndio kupanda kwa viwango vya elimu...
0 Reactions
36 Replies
5K Views
Habari za Weekend, natumai muwazima. Mchana wa leo nimepigiwa simu na mdogo wangu ambae anasoma chuo kikuu cha mtakatifu Joseph kampasi ya Boko katika fani ya Medical Doctor (MD) . Katika maelezo...
2 Reactions
22 Replies
4K Views
Habari wakubwa. Mimi ni kijana nina miaka 20 ninasoma diploma in clinical medicine.Tatizo ni kwamba tangu tumeanza semester 2 naona mambo yameniwia magumu aisee masomo magumu mno halafu kuna...
1 Reactions
43 Replies
8K Views
Ni maswali ya kiuchumi huwaga yana ni tatizo sana msaada please
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wadau nimechaguliwa kwenda kusoma diploma ya ualimu ufundi sekondari ,chuo cha kleruu ttc but karo ya hivi vya serikali ni kubwa je ? Naweza kupata ufadhili kwenye shirika gani au serikali inatoa...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Habaru zenu wakuu. Nimemaliza degree ya kwanza katika masomo ya Social Science. Ila naona interest zangu kubwa zimelala katika masuala ya IT. Kutokana na kusoma masomo ya arts O level...
1 Reactions
18 Replies
6K Views
Kuna umuhimu wowote ule wa serikali ya Tanzania kuweka mfumo wa bila kusoma masomo ya sayansi huwezi somea unesi,maabara,udaktari,ufamasia,sijaelewa mantiki yao bado wakati BIOLOGY pekee inatosha...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Habari zenu wanajamvi Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu nilikuwa naomba kwa mwenye soft copy za vitabu hivi hapa chini nilikuwa naomba anisaidie 1.Anson's Law of contract,oxford...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom