Hiv nani katuloga sisi watz?!!! Kuna maana gani kumfundisha mtoto kwa lugha ya kiswahili kuanzia chekechea mpaka darasa la saba kwa lugha ya kiswahili af akifika secondary unambadilishia lugha ya...
Wakuu habari za pilika.
Samahanini, kwa mwenye uelewa wa vitabu gani vinafaa kwa mwanafunzi wa kidato cha kwanza naomba anisaidie majina. Hii ni kwa sylabbus ya CSEE ya hapa kwetu Tanzania...
Ni statement inazoelimisha like life, knowledge,success,love,good,. Kinapatikana kwa bei nafuu elfu kumi tu kimoja. Kwa mawasiliano tupigie. 0717420309,0673265113
habari wanajamvi kama kuna mtu amejiunga na huduma hii ya kusoma masomo ya ufundi kwa njia ya mtandao ilioanzushwa n.a. airtel kwa kushirikiana na veta naomba atusaidie kutujuza masomo haya yapo vp?
Mtihani wa taifa darasa la nne unatarajia kuanza kesho. Nipo kwenye semina ya mtihani walimu wote watakutana kwenye kata zao, malipo ya semina hakuna, malipo ya kusimamia mtihani hakuna tumeambiwa...
Mwalimu ndiye 'Jiko' la kupikia na kupakua Wasomi, lakini kwa bahati mbaya amegeuzwa 'Jalala' la kutunzia takataka na kutemewa mate na waliopita mikononi mwake.
Uongozi wa juu kabisa wa Awamu hii...
Quality Business Solution.Co.Ltd wa Po Box70401 Dar es salaam.
Wanatoa inhouse training ya matumizi ya Accounting package ya Tally.ERP9
trainings : Popote Tanzania, Mpaka mikoani tunakufukia...
Katika halmashauri ya mji wa Kibaha walimu waliosimamia mtihani wa taifa wa kidato cha pili mwaka huu licha ya kumaliza kazi hiyo tangu jana bado hawajui lini watalipwa nusu ya posho yao ya kazi...
Wapendwa nina CPA ila nipo interested kusoma ACCA kuna fursa nimeiona nje ya nchi.Naomba kuuliza ukiwa una CPA kuna exemption kwa kiwango gani ili nipate ACCA?
Thanks
Optometry Kwa anaeijua kozi hii na kazi zake na chuo kinachotoa nilisikia KCMC inatoa.
Vipi wakuu inafaa kusoma kuna mdogo wangu anataka kusoma hatojutia?
Habari wanajamvi,
Poleni na majuku,
Niko hapa kuomba ushauri.Nimebahatika kuchaguliwa Chuo kikuu Huria Tanzania kwa Masomo ya shahada ya Kwanza ya Sociology 2016/17.
Mpaka dakika hii sijapata...
UALIMU NI KAZI HATARISHI.
Mwandishi wa makala za Elimu,ndugu Ruston Msangi,aliwahi sema ualimu ndio mama wa taaluma zote.Msangi alimaanisha fani zote;uhasibu,udaktari,ukunga na nyinginezo...
Jamii inatumia kodi zao kuwasomesha wanataaluma wao ndani na nje ya nchi lakini kinachorudi kwao kutoka kwa wanataaluma wao hakilingani na thamani ya kodi zao.
Wasomi nguli wamejichimbia sehemu...
Nakumbuka nikiwa darasa la tano hivi kuna siku mimi na rafiki yangu tukiwa darasani tulikuwa tunapeana zamu ya kumkumbatia kimahaba mdada mmoja ambaye pia alikuwa ni mwanafunzi mwenzetu..tulifanya...
Ajira duniani hutolewa kwa wenye ujuzi au maarifa husika. Ni mara chache sana kusikia mtu kaajiriwa kwa sababu ya elimu aliyonayo. Isipokuwa elimu ya mtu huwa ni kiungo kwa ujuzi au maarifa...
Nichukue nafasi hii kuiomba serikali kuwapa ufadhili wanafunzi wote waliochaguliwa vyuo vya serikali kusomea diploma ya ualimu wa sayansi ili kuwasaidia hawa wanafunzi wasome maana wengi hawawezi...
Mara ohh utasikia eti "wakili msomi", hivi kuna wakili ambaye hajasoma??
Ajabu mpaka baadhi ya wanataaluma ambao ni mawakili utamsikia anajitambulisha kwenye harusi, "mimi naitwa so and so...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.