Katika kuangalia majina ya wadaiwa sugu wa Bodi ya mikopo ya Elimu ya juu nimekutana na hili jina hapa chini. Huyu mdau kasoma na kumaliza UDSM kati ya 2005/2006, sasa hebu tujadiliane kama kweli...
Malengo halisi ya mtihani Wa kidato cha enzi zetu yalikuwa ni kuwachuja wanafunzi. Mtihani huu ulijulikana kwa jina la "FORM TWO NATIONAL EXAMINATION".
Huu mtihani nakumbuka tuliuheshimu sana kwa...
Serikali inaendelea na kuuzunguka mbuyu. Yaani inazidi kuzunguka tatizo badala ya kulitatua. Na sababu kubwa ni kwamba inazunguka kwa sababu yenyewe ndiyo ilivisajili, lakini leo inavifuta...
Inasikitisha, kwa hakika na Elimu sasa inakufa.
Baada ya mitihani ya kidato cha nne, leo mitihani ya kidato cha pili inaanza tarehe 14/11/2016
Kwa kawaida mitihani hii walimu ulipwa posho ya...
Mimi natapa taabu sana kuona Serikali inakua na kigugumizi kuwapatia wanafunzi wote wenye sifa mikopo ya elimu ya juu bila sababu, pesa yenyewe ni mkopo utakaorudishwa tatizo nini?? Hivi serikali...
Wapendwa habari zenu, nina cheti cha veta cha computer and secretary je naweza kujiunga na Chuo nipate diploma? Maana nimeambiwa kuwa vyeti vya veta huwa havikubaliwi.
Rais wangu, pamoja na mengi uliyofanya mazuri, kwa hili la mikopo ya wanafunzi elimu ya juu litafanya hata mazuri uliyofanya yasionekane. Watoto wa maskini waliokupigia kura kwa ahadi zako nzuri...
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) linapenda kuwaarifu Wadau na Umma kwa ujumla kuwa zoezi la kupokea maombi ya kujiunga na masomo kwa kozi za Astashahada (Cheti) na Stashahada (Diploma)...
Tunajua kuna vitamin,protein,fats,carbohydrate,mineral,water na fibers.
Hapo kila moja ina nutrients zake,mfano vitamins ina A,B,C,D,E n.k, mineral ina potassium,magnesium,zinc,fluoride n.k...
Kuna first Year katika chuo cha MWALIMU NYERERE MEMORIAL ACADEMY ali-be allocated katika awamu ya kwanza kabisa ya mkopo ya yale majina 3000+ na huyo Jamaa alipewa fedha ya ada yote na vitu...
Ijumaaa ni mahafali ya graduates
SUA bila uongozi, bila mkopo,bila boom watu tunashindia maji sasa hii ni hatarii kwa wadada zetu ambao hawana uvumilivu, wataharibiwa bila kupenda ila kitokana na...
Mimi ni Mtanzania wa kawaida tu!
Kwa kuwa serikali imefikia katika hatua nzuri ya mchakato wake wa UHAKIKI.
Ninaishauri Serikali kupitia TAMISEMI itangaze ajira mwezi huu, ili waajiriwa wapya...
Habari ndugu zangu,
Nina Kijana Wangu amemaliza form six; alipata div 3 ya 14 (PCM) yenye cridit PHYSICS- D, CHEM-E, MATH-E kwa maana yake alikuwa na point 4; na alipoomba kujiunga chuo kikuu kwa...
Habari wana JF.
Baada ya kusubiri sana nimejikuta nipo na maswali mengi kuliko majibu juu ya swala la mikopo elimu ya juu. Bodi wametoa mkopo kwa almost form 6 wote ambao wamechaguliwa na wamesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.