Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Jamani hata kama huna uwezo wa kulipa nenda kahakiki deni lako Bodi, hali sio nzuri. Kinachoendela sasa ni kubambikiana madeni kulikokithiri, so usipoangalia utalipia hadi wadaiwa hewa.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Leo katika mahafali ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania kulikuwa na ombi kutoka kwa Vice Chancellor Prof. Bisanda kwamba chuo chake kiruhusiwe kudahili wanafunzi chini ya vigezo vilivyowekwa na...
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Wanafunzi 316 waliokuwa wakisoma katika Chuo Kikuu cha St. Joseph ambao walirudishwa nyumbani kwa kuwa hawana sifa, wamefungua kesi ya madai ya Sh 6 bilioni katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es...
7 Reactions
36 Replies
5K Views
Wanajamvi ninaomba kuijua hii course ya post graduate diploma in law jins ilivyo na inavyotolewa, je mtu akimaliza hii program anawexa kwenda law school. nimeona inatolewa na OUT na CHUO cha RUCO.
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu nimemaliza diploma ya Civil engneer miaka 3 iliyopita na mwaka huu niliaply chuo lakini nkapangiwa kusoma water resources and irrigation engineering pale chuo cha maji ubungo na bwa mkubwa...
0 Reactions
28 Replies
7K Views
Naomba kufahamu chuo cha bustani first year waishaanza au bado maana nimepata transfer hapo msaada please kwa anekifam anipm 0758494651 nataka nikaripoti first year
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Napenda kuweka maandiko yangu hapa kuishauri wizara ya Elimu,sayansi ,technolojia na ufundi,kuwa mtihani was form two ufutwe badala yake walimu wapewe mamlaka ya kuchuja kila darasa kuanzia form...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Mimi ni mwanafunz niliechaguliwa st joseph univesity lakin nimeshindwa kujiunga na wenzangu mwaka huu. Kwasababu ya ukosefu wa ada sasa naomba mnisaidie kama sijaenda kuripot chuo je mwakan...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwenu wahandisi wa Tanzania. Nasema na wahandisi ambao wanasoma wakiwa na malengo ya kuajiriwa, ajira zipo lakini kipato hakina uwiano na muda na akili nyingi ulizosota kusoma mizigo ya vitabu...
15 Reactions
346 Replies
59K Views
Wadau wote wa elimu karibuni sana!
0 Reactions
0 Replies
984 Views
tumeshuhudia vyuo vilivyoanzishwa miaka ya hivi karibuni kama udom product zake zikifanya mambo makubwa na ya kuonekana mfano mwanafunzi kutengeneza mtandao Wa 2days sky na mashindano ya MTN. cha...
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Napenda bodi kurejea tena masharti ya MTU kupata mkopo wa elimu ya juu.binafsi sioni sababu ya kufuta mikopo kwa watumishi kwani wao ndio wana uhakika wa kulipa,Nashauri bodi irekekebishe tu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Heshima kwenu wadau wa elimu. Leo nimekuja na hii, nimekuja na hoja ya kumpiga teke chura.. Takribani miaka kama miwili hivi iliyopita na kurudi nyuma huko somo la General Studies lilipewa uzito...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habarini wanajamvi Nasikitishwa na kitendo cha NACTE kuendelea kudahili mafunzo ya ualimu 2016/17. wakati kuna walaka umeshatolewa kwamba NACTE hawaruhusiwi kudahili tena kwani utaratibu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wakuu napenda kuuliza tahilso walituarifu kuwa tusijaze zile form za dodoso la loan board. Hadi muda watapokaa na management ya board na Waziri. Je majibu yalikuwaje na Je tujaze au not?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
mpaka sasa mwezi unaelekea was pili sasa sijui tatizo nini majina wanatoa mawili mawili tutakufa na njaa aseee...maisha magumu huku wengine washapata wachache sisi tunaisoma nambaa mpaka Leo...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Naomba kujuzwakuwa wanaosoma community health wanaandaliwa kufanyakazi za ainagani, naomba kufahamishwa
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Habari wanajamvi. Nasikitishwa na hali ya kutokuwa na mtandao unaokidhi viwango kwa ajili ya mawasiliano na Internet. Jambo hili linatusumbua kwa kiasi kikubwa. Sio Voda, Tigo, Airtel wala...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom