Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Jamani samahanini nyote kwa usumbufu kwa heshima na taadhima ningeomba kwa yeyote yule ambaye anayejua vyuo vya kusomea utangazaji wa radio huku arusha na moshi ningeomba anifahamishe ila hata...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Naomba msaada, nawezaje kupata Application ya PC Windows yenye uwezo wa kutengeneza matokeo ya wanafunzi (form 1 hadi 6), na pia kama inauwezo wakutoa report forms? Vile vile nahitaji application...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wadau, naomba kufahamu mahali zilipo Bethan schools hapa Tanzania. Kwa yeyote mwenye kufahamu naomba msaada wake. Shukrani.
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Kwanza ilitolewa orodha ya tangu 1990s hadi 2014 Baadae ikaondolewa na kuletwa ya 2008 to 2011 (zote ninazo) Muda huu orodha zinaredirect OLAS na OLAS ni empty!! Acheni kwenda Ulaya kushangaa...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
SOMO LA MATHEMATICS KUITWA UGONJWA WA TAIFA KWA WANAFUNZI Kwanini Somo Hili ni Gumu sana? Kadri miaka inavyozidi kwenda ndio thamani ya madarasa inapungua, nikimaanisha kwa aliyemaliza kidato...
2 Reactions
8 Replies
6K Views
Watoto walioingia kidato cha tano mwaka huu walifanya hivyo bila ada elekezi hivyo kulipa ada bila mpango unaoeleweka kinyume na ahadi ya waziri. Sasa januari ijayo watoto wanatakiwa kuanza kidato...
0 Reactions
0 Replies
797 Views
Ndugu zangu,mimi ni mwajiriwa wa serikali katika sekta ya Afya. Nimeajiriwa Halmashauri moja hivi. Nakuja kwenu kuomba msaada/njia au maelekezo ya jinsi gani naweza kuhama kutoka hii Halmashauri...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Habari za wakati huu home of great thinker .Najua humu wapo wadau wengi tu wa elimu ya juu. Nataka niwakumbushe kitu bodi ya mikopo kuhusu chuo cha Bahari...
2 Reactions
17 Replies
3K Views
Naombeni mnisaidie pa kupata hostel za wanavyuo nje ya campus kwa maeneo ya Magomeni, upanga, mnaz mmoja au posta. Tafadhalini
0 Reactions
1 Replies
689 Views
Heshima kwenu wanajamvi! Ni muda sasa umepita toka Bodi ya mikopo ya elimu ya juu kutoa taarifa ya ujazaji wa dodoso ili kuboresha taarifa za waombaji hususani sisi continuing students. Lakini...
0 Reactions
1 Replies
978 Views
Kumbe vyuo visivyokuwa na accreditation an Marekeni vipo! Trump university ulikuwa ni utapeli. Soma chini! Trump University - Wikipedia Msiwalaumu sana Nacte na TCU
0 Reactions
1 Replies
889 Views
Nafasi tajwa apo juu inapatikana kwa mwanaume. Kwa maelezo zaidi njoo pm.
1 Reactions
2 Replies
788 Views
0 Reactions
0 Replies
621 Views
Hongera sana Prof. Mukandala kwa kuitumikia UDSM kwa muda mrefu. Kila la heri mkuu uendako, tunatambua mchango wako.
7 Reactions
78 Replies
12K Views
Wana Jf hivi nafasi za masomo katika chuo cha Mamlaka ya Hali ya Hewa huwa zinatangazwa lini naomba mnisaidie.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mimi nilihitimu kidato cha nne mwaka 2009 kwa ufahulu wa dv 4 pnt 27 na nilikuwa arts. Niko interested sana na computer. Ni coz gani itanifaa kwenye vyuo vya engineering kama DIT?
2 Reactions
5 Replies
8K Views
Da, iliniuma nilipo kuwa nchi jirani kuangalia tv naambiwa shule niliyopata kusoma enzi hizo ikiwa shule ya vipaji leo hii inakuw shule ya 9 kutoka mwisho, means vilaza product, please tulio soma...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wadau., naomba kama kuna mtu mwenye soft copy ya majina ya mkopo kwa continuing students. Kuna mdogo wangu kaniambia kanyimwa mkopo na alikua anapata huko nyuma. Kimsingi simuamini sana...
0 Reactions
2 Replies
735 Views
Nasema hili kwa uchungu kwani mpaka leo sijachaguliwa kila nikiingia kwenye profile yangu neno hili nalikuta kila siku "system is closed for selection". Mbona hawatuweki wazi kama wamemaliza kama...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu waungwana,nina swali naomba kuuliza nina rafiki yangu anapenda kuja kusomea maswala ya sound engeening je kwa hapa bongo ni vyuo gani vinavyotoa hii fani
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom