Amani na Salama!
naomba kuuliza taratibu zinamwezesha mwalimu kupata nafasi ya kuwa miongoni mwa wasahihishaji Wa mitihani iliyo chini ya baraza la mitihani la taifa.
nawapenda.
teacher Noni
Nijuavyo Mimi NECTA husimamia taaluma toka darasa la kwanza mpaka kidato cha sita baada ya hapo taasisi zinazo simamia kutoa mafunzo ya utaalamu huchukua jukumu hilo mfano wa tasisi hizo NACTE...
Nimekuwa nikiona thread mbalimbali kuhusu malalamiko ya vijana kukosa mikopo ya elimu ya juu kutoka HESLB. Ni vema kama jamii tukajaribu kuoanisha ni nani hasa anastahili kupata mkopo kwa fedha...
Ninachoweza kusema ni "Mungu atusaidie" kwa huruma yake na akipenda vinginevyo tunachezacheza tena bila utaratibu.
Jamii inajua kuvuruga vichwa vya watu haiwezi kuwa na msingi wa jambo lolote...
Zamani kulikua hakuna michezo mingi ambayo tunaiona katika zama zetu hizi lakini watu walikua na afya bora na waliishi maisha marefu lakini katika zama zetu hizi.....soma zaidi
Blogger.
Wanajamvi naombeni nijue sifa za Mtoto kujiunga Darasa la kwanza shule ya Msingi ili Watoto wetu wasipoteze Haki yao ya Kupata Elimu pia Serikali isimamie uandikishaji wa Watoto Darasa la Kwanza...
Nimesikia watu wengi kwenye mtandao wakipigia debe elimu ya bure!! tatizo la pesa kweli lipo lakini vilevile hatuna madarasa ya kisasa, walimu wa kutosha na mbinu mpya za ufundishaji.
Tanzania...
wadau wa elimu naomba msaada kwa yeyote anijulishe kuhisiana na MANDAKA TEACHER COLLEGE. join instructions za hicho chuo na siku ya kuripoti .asanteni wakuu[emoji120]
Jamani hizi ni university za vipi. Inaitwa University lakini haina website. Kuna watoto wamechaguliwa kwenda pale sasa sijui wanapataje kujua chuo kikoje na mahitaji yake! I doubt its credibility...
Habari wanajamvi wote!
Kama jinsi kichwa cha habari kinavyotanabahisha, kuna kaka yangu mmoja anakusudia kuendelea na masomo yake kwa ngazi ya PhD katika mambo ya uchumi (economics). Hivyo kwa...
Asanteni HESLB kwa kumpatia mdogo wangu mkopo, maana nilikuwa nimeshamfungulia genge la nyanya. Na ingawa ufaulu wake ulikuwa div3 lakini mmemuona kwa kuangalia shule alizosoma na pia course...
Habari yenu wana jamii forums napenda. kujuzwa kwa yeyote anaejua habari za Mkopo hivi ndo kusema Yale majina elfu 25 yamekamilika?? au kuna batch nyingine? maana nasikia tu yamebaki elfu 3 Mara...
Habari wana jamii.
Mwalimu hakuna sheria inayolazimisha wewe kwenda kusimamia au kusahihisha mitihani.
Ni kutojitambua kufanya kazi kwa malipo ya Tsh10,000 kwa siku wakati nauli ni zaidi ya hio...
Wizara ya ulinzi na jeshi la kujenga taifa linawatangazia vijana wote waliohitimu kidato cha sita June 2016 na ambao hawajajiunga na elimu ya juu,,kujiunga na MAFUNZO ya Jkt.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.