Tafadhali kama unamfahamu mwenye jina la LUCY KIDUBO mtaarifu kuwa kuna mtu anavyo vyeti vyake alivyovipoteza, inaonyesha ni mwanafunzi wa UDOM maana kuna payslip za UDOM. Halafu niPM nikupe namba...
Kapuya alikuwa Waziri wa Elimu katika awamu ya Benjamini Mkapa. Mojawapo ya kihoja alichofanya ni kufuta masomo ya biashara na kilimo.
Kawambwa alikuwa Waziri wa Elimu wakati wa J. Kikwete...
Siku zote mzaha mzaha hutumbua usaha.
Awamu hii ya tano imekuja na sera ya elimu bure na ili kuitekeleza sera hii imebidi iminye vijiposho vya walimu ktk shuhuli mbalimbali kama usahihishaji wa...
Habari zenu wakuu nimeombaa Transfer DIT lakini siku ya kwanz nilimkuta Muhasibu akanambia niandike barua alafu nirudi siku inayofuata.
Niliporudi nilimuon Registrar lakini registrar alinambia...
Habari wana JF!!
Nimeamua kuandika hii thread ili imfikie moja kwa moja Mkurugenzi wa bodi ya mikopo Mh. Abdul Razaq Badru.
Mpaka saizi navyo andika hii thread kuna vilio vingi sana vya...
Kwa serikali inayotaka ufanisi wa utendaji lazima iangalie na uhitaji wa watendaji wake.
Kwa mfano watumishi wameomba uhamisho wa bila malipo kwa kutokana na matatizo tofauti tofauti na...
Ndugu wanaJF,
Naombeni msaada,
Kuna mtoto wa shemeji yangu ni yatima, suala lake la mkopo halieleweki kama upo au haupo, amepangwa chuo cha St. Agustino huko Dodoma.
Mpaka sasa haijulikani kama...
Naomba msaada wa jinsi ya kuchora maumbo ya hisabati kama vile miche duara,pembe tatu na n.k. Kwa kutumia microsoft excel au word.
Au application yoyote rahisi ambayo naweza kuitumia katika...
Kunahili tangazo lilitolewa wikihii inayoishia,nikwamba wanahitajika watu waliosoma sayansi na hesabu ambao either wamemaliza chuo ila walisoma coz nyingine nje ya education,serikali inawahitaji...
Haki ya Mungu sisi makabwela tusiokuwa na mahali pa kutolea maoni yetu tuwashukuru sana watu kama JamiiForums kwa kutupatia mahala ambako tunaweza na sisi kuwabwekea wafanya maamuzi. Kusema ukweli...
Imported from a FB Friend
BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU KUNA WALAKINI
Tunaweza kusema kuwa ni upungufu wa kawaida tuliouzoea miongoni mwa viongozi, maofisa na watendaji wa serikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.