Hatimae zile scholarships alizoahidi Mo Dewji zimetoka!
Hongera sana, kwa uzalendo uliouonesha kwa kuwasaidia vijana kwa kile ulichokipata!
Vijana waliofaidika wakasome kweli...
Kuyaona majina ya...
BAADA ya miezi mitatu tangu Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu, (HESLB), kutangaza vikwazo kwa wadaiwa wake sugu, ikiwa ni pamoja na kuwazuia kujiendeleza kimasomo ndani na nje nchi na...
Nimepata taarifa kutoka kwa mmoja wa Diploma Holders aliyepo chuoni (jina kapuni) kuwa amepata mkopo. Hata hivyo nimejihakikishia kwa kucheki namba yake kupitia OLAMS na kuona kuwa kweli kapata...
Wadau bado nahitaji msaada wenu kimawazo najua unaweza usinipe ushauri kwa kuwa wewe umepata chuo na mkopo! TCU wamenichagua ila udom jina halipo batch zote wametoa jina silioni wengi wamenishauri...
HUSSEIN BASHE
Mfumo wetu wa elimu kwa muda mrefu umeonesha udhaifu katika usimamizi, uendeshaji, udhibiti na ugharimiaji tangu Taifa letu lilipo amua kufanya ugatuzi wa madaraka, uliopelekea...
wadau profile yangu inaonesha hivyo lakini nikiangalia web ya chuo cha udom jina langu halionekani tatizo ni nini wakati TCU wameshanichagua? Kuanzia first batch hadi fifth batch! Nishaurini...
Bachelor of human resource management na bachelor of arts with public administration ipi nzuri zaidi kusoma na yenye upana wa kubadilishwa kitengo?
Ukiwa umeajiriwa kama mlinzi ??unaweza...
Jamani naombeni msaada wenu nataka kujua vyuo vinavyofundisha pharmacy kwa ngazi ya diploma(ordinary diploma) kwa mikoa ya mbeya, songea ,iringa ,Moro au Tanzania kwa ujumla.naomba msaada wenu
Hii programme inapatikana katika chuo cha utumishi wa umma tawi la TANGA.
1.Nataka kujua inahusika na nini?
2.Uwanja wake wa ajira ya kuajiriwa au kujiajiri upo kwa kiasi gani?
Thanx in advance...
Habari wanaJF, napenda kutambusha huduma hii mpya kwenye mfumo wetu wa chenjifasta ambao unamsaidia mwalimu anayetaka kufundisha kwa muda wa ziada(Temporary) au kujitolea kufundisha(Volunteer) au...
naombeni msaada kwa yeyote mwenye mapenzi mema, mimi ni kijana mtanzania nimemaliza ngazi ya stashahada katika fani ya UHANDISI NA USIMAMIZI WA MAZINGIRA MIGODINI mwaka 2016 mara baada ya...
Habari wanajamvi, poleni na hongereni kwa pilika za hapa na pale.
Naomba kujuzwa au kusaidiwa vyuo vinavyotoa cozi za e learning na kutunuku vyeti, viwe vya nje coz vya ndani muda wa udahili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.