Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habar za mida hii wana JF, ukiachilia mbali chuo cha UDSM ambacho tayari kimeshatoa pesa za wanufaika wa mikopo, kwa yeyote anaefahamu ni lini pesa za wanufaika wa miokopo zitatolewa maana maisha...
0 Reactions
4 Replies
850 Views
Tuliomba nafasi ya kusoma diploma ya kozi za Afya kupitia NACTE,mkatupangia vyuo binafsi,wachache wakapata vyuo vya serikali.Hao waliopata serikali mmeamua kuwadhamini ili wakimaliza wafanye kazi...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Jamani hivi ni kweli mwaka huu mpaka kozi za afya hatupati mikopo au? Mbona mpaka sasa kimyaa.!! Chuo kimefunguliwa sijaripoti chuoni? Wenzangu washaanza kusoma!! Je serikal mnatuangalia vp? Jaman...
3 Reactions
39 Replies
5K Views
Wakuu habari? Nashindwa kuondoa write protection kwenye flash disk. Yaan ukiingiza faili kwenye flash haiku bali. Kwa mwenye uelewa tafadhali
0 Reactions
0 Replies
892 Views
TCU wameshaanza kuchagua waliopata nafasi ya kujiunga vyuo vikuu, kuangalia kama umechaguliwa bofya HAPA
5 Reactions
202 Replies
65K Views
Tafadhalini wakuu mwenye list ya shule za sekondari za binafsi wilayani mbalali aniolodheshee na ubora ikibidi "thanks"
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Katikati ya mwezi wa Oktoba mpk mwanzoni mwa Nov.kulisikika kelele nyingi sana kuhusu wanafunzi wa vyuo vikuu nchini.Kwa tathmini ya haraka wengi walikuwa wanalalamikia kukosa mikopo,wengine...
3 Reactions
71 Replies
8K Views
Jamani mimi nimerud tena kuuliza swali mnisaidie tafadhari... Nimejaribu kujaza form ya mkopo lakini kuna kipengele cha kuonesha kama ni yatima au wazazi wako hawana uwezo au una mzazi mmoja. Sasa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu, Naomba msaada kupata kitabu cha midwifery. Asanteni.
0 Reactions
1 Replies
985 Views
Leo nimepata bahati ya kutembelea chuo cha elimu ya biashara CBE , Ambacho kinapakana na chuo cha DIT kwa kutenganishwa na ukuta tu. Nimeshuhudia vijana wa DIT Wakiwa makundi makubwa nyuma ya...
1 Reactions
51 Replies
6K Views
Naombeni msaada nimefanya transfer lakini leo nimeangalia kwenye account yangu ya loan nimepata mkopo,je nitaupata mkopo wangu katika Chuo nilicho hamia?
0 Reactions
10 Replies
1K Views
ni baada majina mengine kuletwa Mwalimu nyerere memorial academy ya mkopo yakiwa yamenakishiwa kwa maandishi yanasomeka kuwa "BANCH NAMBA 5" ili hali yalikuja majina 151 tu mara ya kwanza sa hivi...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Oy wadau anayejua maswali hyo atiririke bas yanamaanish nn? 1.what do you understand by Hamitic myth? Has this theory had any influences Africa in the 19century...
0 Reactions
5 Replies
923 Views
WANAFUNZI wa Chuo cha Elimu ya Biashara cha Dar es Salaam (CBE) wamemwomba Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kwenda kujionea changamoto zinazowakabili kabla ya Siku ya Mahafali yanayotarajiwa kufanyika...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Msaada open university wametoa majina walioapply direct chuoni mwaka huu au tumeibiwa??hawachukui?
0 Reactions
2 Replies
776 Views
Naomba kujuzwa juu ya hili suala la supplementary na mikopo. Je ni kweli ukiwa na supplementary hupatiwi mkopo? Na kama ni kweli serikali ina mpango gani na elimu yetu? Hivi mnadhani vyuoni...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Nauliza IV Kuna batch zingne au Ndo wamemaliza a location?
1 Reactions
3 Replies
861 Views
Michurinsk state university is one of the affordable and credited universities in Russia. The university is situated in a small town called Michurinsk, Tambov state, Russia. Admission is open all...
1 Reactions
7 Replies
869 Views
Ni binti wa kimasikini hatamani tena kuishi. Anashindwa kuendelea na masomo japo amechaguliwa computer science UDOM kwa level ya diploma. Alisoma CBG na alipata div III ana D moja kitu...
0 Reactions
13 Replies
923 Views
Kwa Bodi ya Mikopo. Je, hii ni haki? Hii ni habari ya kweli. Mimi ni mtumishi wa uma kwa miaka 20 sasa. Kwa kuwa hali ya taaluma katika shule zetu za msingi na o-level haikuwa njema kwa kipindi...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom