Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Natafuta kazi wadau nna degree ya electronics and communication naombeni msaada
0 Reactions
4 Replies
777 Views
Wanabodi, Husika na title hapo juu, Ningependa kufahamu utaratibu mzima ukoje Pamoja na gharama zake zikoje Nimejaribu kuwatumia Necta emails hawajibu. Na simu zao hazipatikani Huku...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Habarini wadau naomben mwenye kujua kiundan chuo cha jordan hasa kwa kitivo cha sheria yaan taaluma kikoje?? Waalimu wapo wa kutosha?? Naomben msaada tafadhali
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Katika mahojiano yale naona anataka kibaki udom na udsm kwan Maelezo yake yanalenga huko hata mzumbe ilitakiwa iwe college tu.kasema sio kila MTU anaanzisha chuo na kutaka pesa za mkopo zipelekwe...
4 Reactions
45 Replies
5K Views
"The speech organs are not speech organs ".Discuss.... Majibu tafadhali
1 Reactions
12 Replies
1K Views
I.t Professionals
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa walio vyuoni, inasemekana eti wanafunzi wanaoendelea na masomo hawapewi fedha ya kujikimu ikiwa wana supplementary hata moja. Hii ni kweli?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani mwenye majibu tunaomba hapa.Je,mature entry ni mfumo unaoendeshwa na vyuo vikuu duniani kote,au ni Tanzania tu ndio hutumika.
0 Reactions
0 Replies
735 Views
wadau za asubuhii, i hopee nyinyi ni wazima wa afyaa... sasa ndugu zangu kuna siku niliona link moja yenye notes (PDF) za civil engineering basi naombeni kama kuna mtu anakumbuka ile thread...
1 Reactions
27 Replies
3K Views
habari zenu wakuu wa education forum.. nimemaliza masomo yangu ya shahada ya kwanza ya IT ila ninapenda kujiunga na masomo ya clinical officer.. mwenye taarifa ya vigezo vinavyohitajika anisaidie...
1 Reactions
32 Replies
9K Views
Wakuu hivi ELIMU bure bila kuwajali walimu kweli lengo litafikiwa? Watz wanafurahishwa na kauli hii lakini je wanajua faida na hasara za ELIMU bure? Kwa taarifa ya uhakika niliyo nayo walimu wa...
0 Reactions
26 Replies
6K Views
College of Cross-Cultural and Multidisciplinary Studies at Kumamoto University is pleased to offer scholarships for international students to study in Japan. The Spring Program offers two courses...
1 Reactions
20 Replies
5K Views
Ndugu wana jf habari za wakati nahitaji msaada jinsi ya kupata material ya vyuo mbali mbali na kudownlod
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mi nimechaguliwa hapa mwaka huu kusomea education in special needs science subject anefahamu hii kozi upande wa ajira anijuze na mazingira ya chuo kwa ujumla nawasilisha
0 Reactions
23 Replies
4K Views
habari zenuu,wanafunzii wa mwakaa wa kwanza wachuo cha udsm wapewa boom zilee za asilimia sioo laki 710 kama ndalichkoo halivyosemaa,mfanoo mwingnee kapewa lak4,mwingne laki 6
5 Reactions
75 Replies
9K Views
Ndg wana JF, nakuja kwenu kuomba msaada, nime google sana online sijaweza kupata matokeo ya mitihani ya kidato cha nne ya mwaka 1993. Naomba msaada au link inayoweza kunipa hayo matokeo.
0 Reactions
6 Replies
10K Views
Wakuu salaam sana juu yenu natumai ni wazima. Swali langu ni kuhusu hii kozi ya mechanical engineering kwa hapa Tanzania,hivi wanafunzi wa hio kozi wanafundishwa tu...
0 Reactions
2 Replies
913 Views
Mimi ni miongoni mwa wahitimu wa diploma tuliochaguliwa kujiunga na shahada ya kwanza katika fani za kipaumbele. Naomba kuwaulizeni hivi mikopo watu wa diploma haituhusu kwa mwaka huu
0 Reactions
6 Replies
759 Views
Ni linki gani nyepesi kudounlod songs mbali mbali Sana Sana Gospels na naiaccess vipi ?
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom