Nimechaguliwa chuo cha udaktari hubert kairuki memorial University lakin sina ada na mkopo nimekosa, ikiwa ni yatima ambae sina baba,nimesoma shule za government tangu primary!
Nilienda heslb...
kwenye centers za open university walikuwa wanawashawishi watu apply direct chuoni moja kwa moja kwa ngazi ya degree ukiwa unaenda kuulizia utaratibu mwaka huu kumbe waongo hawatoi majina ya...
Nimekuwa nikisikia kwamba kuna watu walipiga dili huko kusini mwa Tanzania, badala ya kujenga kiwanda hela zilizokuwa zimetengwa kwa shughuli hiyo $20,000,000 wakaamua kuzipiga,
Nimejaribu...
Wakuu mm leo nimepata Taarifa kuwa nimechaguliwa chuoni hapo kusoma Computer science Bachelor round hii ya 4 ila chuo kimefunguliwa tokea trh 24 oct na masomo wameanza leo kutokana ratiba inavyo...
huyu sister kwa kuanzisha mtandao wa Shule Direct ameonyesha kuwa mashindano ya ulimbwende yanaweza kuwa na faida. nimejiunga huko najifunza kiingereza.
hv inakuaje kijana anafikia hatua ya kufikiria kufanya biashara angali hajui taratibu na sheria za kufungua na kufanya biashara katika nchi yake.
Then serikali ikija kumnyoosha anasema serikali...
Kwanza natanguliza salam! Mimi ni mhitimu 4m6 mwaka huu na nimepangiwa open university ( bachelor' of science with education) nilikuwa naomba ushauli kwa yeyote ambaye amachaguliwa hapo na...
By Robert John Balfour Professor and Dean of Education Sciences, North-West University
South Africa’s universities are absorbed in debates about fee structures, free education and decolonising...
Wakuu habari zenu,Naombeni mnisaidie wenye uzoefu na hivi vyuo nataka ni apply kupitia nacte wametoa tena chance,Mim nahitaji chuo cha Afya Ngazi ya Certificate na nimecheck nikaona kati ya hivi...
Habari ndugu msaada wa haraka, naomba mwenyekujua jinsi ya kupata neno la siri niliyotumiwa kutoka nacte nimeipoteza kwajili ya kuingia kwenye mtandao kuaply chuo yan sikumbuki hata na mtandao...
Mimi ni mwanafunzi nimemaliza shule o level 2015 nikawa na c mbili na kuna rafiki yangu ana comb less, tunaweza kujiunga nashule ya private naomba ushauri wenu
Ikiwa ni siku chache tu tangu waanze usajili, wanafunzi wa mwaka wa kwanza UDSM leo wamepewa boom,huku wengi wakifurahia utaratibu mzuri wa UDSM kwa kupewa boom haraka.
Tunawaasa matumizi...
Nimechaguliwa bachelor degree in human resource management through TCU na nimechaguliwa technician certificate in clinical officer (NACTE) kwa kutumia cheti cha form four
Mimi nimeajiriwa kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.