Wote mliochaguliwa st Jose college college ,uliza chochote ,masuala ya nyumba na hostel,ulizia masoma mitaalaaa na vitu vigne mm ndo kamanda wao asanteni sanaa
Wanafunzi mwaka wa pili kozi tajwa hapo juu ambao ni wanufaika wa mkopo HESLB wameshindwa kupewa stahiki zao baada ya bodi kutuma majina bila allocation. Tunahitaji msaada wa mawazo tu jamani...
Habari zenu ndugu,
Mimi ni kijana wa miaka 23, elimu yangu ni degree of Bachelor of science in Ecotourism and Nature Conservation (BSc. ENC). Tafadhali nielewesheni, nitapataje teaching license...
Wakuu kama kuna mtu ana majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na chuo hiki naomba anisaidie kupata majina yao au kama kuna link ambayo naweza kuyapata pia anaweza kunisaidia maana nimeingia...
Wakuu naomba mnisaidie kuhusu chuo hiki katika tawi lake la mwanza kimeanza kutoa degree maana kwa taarifa nilizonazo ni kuwa wamejikita kwenye kutoa certificate na diploma, sasa nilikuwa nataka...
Nidhahiri kuwa maswali mengi ya leo yalihusu viwanda,mambo ya habari na hata baadhi ya muda zilitoka pongezi tu.Ilifikia mahali maswali ya viwanda kuzuiliwa na hata kupelekea waandishi wa kawaida...
Hayati Mwl. Nyerere shawahi sema "Adui mkubwa wa maendeleo ni ujinga, maradhi na umasikini". Watu wa elimu ya juu sasa tumegeuza ule msemo na kuwa "Adui mkubwa wa ndoto zako ni NECTA, TCU na LOAN...
Wanafunzi mlioko posta mliokosa mikopo hasa dit tukutane wizara ya elimu saa 7 kamili mchana leo 02.11.2016
Lengo ni kujua hatima yetu.
Kundi moja tunatoka bodi ya mikopo...sasa baada ya kukosa...
HUU UVUNJWAJI WA MKATABA WA MIKOPO KWA WANAFUNZI WA ELIM YA JUU NCHNI USIFUMBIWE MACHO.
Mkopo si hisani ya serikali kwa wanafunzi wa elimu ya juu bali ni matokeo ya mkataba kati ya mwanafunzi...
Ikiwa Raisi Magufuli anatimiza mwaka mmoja tangu apishwe kuwa Rais wa Nchi hii kesho atafanya mahojiano na waharirir wa vyombo vya habari! Sasa kwa ninavo wajua wahariri walivyo waoga huenda...
Nimeangalia now mtu kapata mkopo. Mara ya kwanza alitemwa, education ndo course anayochukua pale nyerere so wengine angalieni mnaeza kuta maajabu kama haya.
Baraza la mitihani Tanzania NECTA limetangaza matokeo ya kidato cha Sita mwaka huu wa 2016 na wanaume wameongoza kwa wingi katika kumi bora, katibu mtendaji wa NECTA bado anaendelea kuongea...
Taarifa niliyoipata leo chuo Mwalimu nyerere memorial academy kutoka kwa Afisa mikopo kwamba
Next week wataachia majina 5000 yaliyobaki ili kufunga mahesabu yao ya ile idada ya elfu 25
ko subiri...
Habari wakuu...
Shida Yangu nataka kujua jinsi ya kuangalia ile approval result ya TCU mimi ni diploma holder... Nikiandika index number yangu inaniambia not found... Sasa ningependa kujua kama...
Hawa hapa wanafunzi waliokosa mikopo 2016/2017. Wanafunzi waliokosa mkopo ni zaidi ya 27,000
Wanafunzi waliokosa ni ;
1.EQUIVALENT-walioomba chuo kikuu kwa sifa za diploma
2.WALIOMALIZA Form...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.