Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Mwenye information za dodoso za Hawa jamaa wa loan bord atujuze au wamegairisha?
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamn kuna aliechaguliwa Chuo cha instute of social work
0 Reactions
0 Replies
636 Views
Ndugu wana jf kwa masikitiko makubwa nimelazimika kuujulisha uma Wa kitanzania kuwa elimu yetu ya juu sasa inaenda kuwa elimu ya kibaguzi na hii imesababishwa na serikali yenyewe kupitia combo...
0 Reactions
4 Replies
872 Views
Ni vitabu gani vya fasihi andishi vinavyotumika kwa kidato cha tano na sita?
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wakuu nna mdogo angu ameapply tcu awamu ya nne lakini mpka sasa anaona kimya kwenye selection, vipi Wakuu kuna yeyote mwenye taarifa, mnijuze.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habarini za muda huu wakuu. Nimekuja kwenu nahitaji msaada Nina wadogo zangu nawasomesha naulizia shule nzuri za private wilayani kahama mkoa wa shinyanga ambapo watapata elimu bora. Mbarikiwe
0 Reactions
20 Replies
19K Views
naomba kuuliza kama kuna mtu yeyote anaesoma Chuo kikuu cha ushirika moshi {MOCU} Kozi ya sheria mwaka wa kwanza tafadhari
1 Reactions
0 Replies
571 Views
Tanzania tumeingia katika hatari kubwa ya kuchanganya mambo ya elimu kuendeshwa kisiasa....Hali imekuwa mbaya zaidi pale ambapo mpaka waziri wa wizara husika baadala ya kutumia weledi anajikita...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Shirikisho la vyuo elimu ya juu latoa siku 7 kwa Serikali kutatua changamoto za wanafunzi, ladai kuna hujuma zinafanyika kumkwamisha Rais kwa kuwa aliahidi kwenye kampeni wanafunzi watapata mikopo...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu nikiwa mhanga wa mada apo juu Nina supp jina langu la pesa za kujikimu halijatoka wengne Wamesain hii ikoje iyo Kwa mwelewa. Sasa nitaishije?
1 Reactions
27 Replies
6K Views
Kwa udom hii course ikoje...?? Kwa wanao ifahamu.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hivi umewahi kujiuliza kuwa ikiwa mwanao au ndugu yako wa kawaida anayesomeshwa chuo kikuu na serikali walau kwa "kamkopo" ka asilimia kadhaa na kupewa hela ya kujikimu kisha akasitishiwa ghafla...
13 Reactions
50 Replies
11K Views
Habarini,anayejua taratibu za kuahirisha kusoma kozi uliyochaguliwa kwa mwaka wa kwanza anipe muongozo,hakna namna hapo maana it was a plan set by our government kutupungza wanyonge tusisome.
1 Reactions
4 Replies
898 Views
Bodi ya mikopo ya elimu leo imekana taarifa kwamba itatoa mikopo kwa wanafunzi waloobaki yaani 5000. Kutokana na ukata unaiokabili kutokana serikali kushindwa kupeleka fedha kwa ajili ya upangaji...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu naombeni msaada mdogo wangu amemaliza kidato cha nne anatafuta chuo kizuri hapa dar kwa alama zifuatazo kozi ipi inamfaa... English D mathematics F geography C kiswahili C civics D history...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wadau mwenye uzoefu wa namna ya Kuhama chuo ukiwa mwaka wa pili kwenda open university
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Salaam wanajukwa. Ni karibu mwezi mzima sasa tangu vyuo vikuu nchini vianze kufunguliwa na kuwasajili wanafunzi wapya kwa mwaka wa masomo 2016/2017. Wanafunzi hawa kwa shauku kubwa ya kufurahia...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Kwa wanaotaka ku download matokeo haya ili kuweza kudadavua zaidi ama offline / kwenye ma database system wanaweza kudownload matokeo yote hapa kama CSEE2012.zip Downloading: CSEE2012.zip -...
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Wana jf mi ni mwanafunzi Wa Kampala university nachukua degree ya pharmacy BUT ninapoingia bord ya mkopo kuangalia kama nimepata mkopo nimekuta hivi YOU'RE NOT ALLOCATED A HIGHER EDUCATION LOAN...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Naomba Kuuliza umu jf moderator ndio nani na cheo iko kapewa na nani na kwao wap na Kaz yake umu jf ni nini?
2 Reactions
5 Replies
919 Views
Back
Top Bottom