Ni takriban wiki kadhaa sasa vijana wetu vyuoni wanahangaika huku na kule kuona namna watakavyopata msaada wa amakupata mkopo au kufungasha virago kwenda nyumbani.Najiuliza katika hili nani wa...
Ni mwanafunzi mwaka wa kwanza. Kwenye ile orodha ya kwanza alikuepo, orodha ya pili imetoka hayupo!
Je, huu ni ujanja wa board ili kuweka watu wao (hapa rushwa ina nafasi kubwa na vyeo vya wazazi...
Habari zenu
Diploma maalum ya Ualimu wa sekondari(ODSE) iliyokuwa ikitolewa UDOM hapo awali imefutwa au la?mwaka huu sijaona taarifa ya utumaji maombi kwa waliotaka kujiunga.
Kwa mwenye taarifa...
Waungwana ningeomba kujuzwa Kwa yeyote anayejua chuo cha nursing kilichopo ndan ya mkowa wa daresalaam
Nitashukuru kama nitajulisha mahara kilipo na kama itawezekana na ada yao pia
Maana mdogo...
Katika kipindi cha maswali na majibu leo asubuhi Bungeni mjini Dodoma, Naibu Spika Tulia Akson ameitaka serikali ije kutoa kauli juui ya suala tete la mikopo kwa wanavyuo.
Sasa hapa sijajua ni...
Habari wana jukwaa.
Wakuu naomba msaad kama mtu anafahamu taratibu za kufuata baada ya kupoteza academic certificate ya form four na inahitajika original kwenye registration chuon first year...
Nianze kwakuonesha masikitiko yangu kwa kizazi hiki cha sasa cha wasomi uchwara,na viongozi wao uchwara,pamoja na matatizo makubwa ya wanafunzi kukosa mikopo majamaa yamekaaa kimya bila hata kuona...
Jaman wana jamvi napenda kujuwa kama open university wanatowa mkopo kwa wanafunzi Mimi nimechaguliwa hapo na nimemaliza mwaka huu 4m6 ila cjui swala la mkopo kwa hapo inakuwaje msaada Tafadhali!
Jamani, Kuna mtu kachaguliwa kusoma Bachelor of Science in Nursing- Catholic University of Health and Allied Science, amekosa mkopo. Amekata rufaa kama walivyoelekeza. Anauliza kama kuna taasisi...
Kunaa siri gani?
Nasoma bure SABABU SINA pesa nafika chuo sina sifa ya kupata mkopo?
Kubaguliwa kwa sababu ya course,family,age of completion, diploma,or any other means sidhani kama hizi ni sifa...
Nimesoma taarifa ya bodi ya mikopo kuhusu marejebisho ya vigezo vya utoaji wa mikopo ya elimu ya juu lakini kuna mambo mawili bado sijayaelewa, na bahati mbaya bodi wamekwepa kuyatolea majibu...
Kwa vigezo hivi vipya vipya vya mkopo wa elimu ya juu vijana wengi watashindwa kuendelea na masomo pia tutegemee ongezeko kubwa la madada poa inasikitisha mno ili swala
Wadauu Mimi ni Mdogo wenu ambaye nimechaguliwa 4th round pale open university naomben mwenye taarifa yyte kuhusu chuo hiki anisaidie! Hasa mazingira yake na kama kina hostel pia nijuze!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.