Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
kwani batch ni moja tuu au nyingine tuzisubiri???
0 Reactions
3 Replies
798 Views
Watu wengi wanaamini kuwa Professor ni ishara ya kuwa na uwezo mkubwa wa kujua mambo mbalimbali. Je ni professor gani unayemkubali kwa mchango mkubwa katika maendeleo ya Taifa?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Malizeni salama muingia kidato cha tano na kumaliza cha sita mkutane na mitihani ya bodi ya mikopo.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Kwa waliochaguliwa chuo cha Tumaini tawi la mbeya Tuonane hapa
1 Reactions
12 Replies
2K Views
ningependa kujua wakuu eti ukiwa na GPA nzuri ya IT diploma.. unaweza kusoma software engineering?? mawazo yenu muhimu nakaribisha
0 Reactions
3 Replies
624 Views
Habari wakuu! Leo nimejaribu kuingia kwenye mtandao wa Heslb kwa ajili ya kujaza hilo dodoso lakini naambiwa "You did not login successful" "Sorry, you are logged into the system. If you have not...
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Yawezekana mwaka huu mvua nayo ikasimamishwa kwanza ili kupisha uhakiki wa wakulima hewa.... Nawaza tu lakini maana serikari yetu kwa uhakiki wa hewa hewa duh wako vizuri.
0 Reactions
0 Replies
502 Views
Miaka ijayo tutakuwa hatuna wataalamu wa HISABATI....nadhani sasa ni wakati MTIHANI WA HISABATI KUCHAGUA MAJIBU A..B..C..D..E ufutwe haupimi kitu chochote....Wanafunzi haumizi kichwa kufanya...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Naomba kuuliza wanajamiiforum ivi ule utaratibu wa wanafunzi wa shule za sekondari kurudi shule kusoma masomo ya Jioni ( Remedial ) , na kutiliwa mkazo sana na serikali za sasa,,, Ni kweli mpango...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Gone are the days viongozi walikua wanasimamia maslahi ya wanafunzi wao. Kwakweli for all years nipo UDSM sijawahi kuona viongozi bomu kama wanaojiita white DARUSO. The president hata Head boy...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jins ya kuingia kwenye accounts ya heslb kwa wanufaika wa mikopo wanaendelea
0 Reactions
0 Replies
629 Views
Kwa mtu Mwenye ufahamu juu ya PGDE naomba anijuze kama mtu Mwenye Bachelor Degree kutoka fani zingne kama Civil Engineering, IT n. K anawezaje kuchukua Masomo ya kufundishia pindi akihitimu PGDE...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
OPENING OF THE FOURTH ROUND OF APPLICATIONS THROUGH CAS na Central Admission System (CAS) Hizi siyo habari mpya zimepitwa na muda lakini hapa inaonekana kama habari mpya, hakuna wataalamu wa...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
"There is relationship btn behaviour and life" Members kuna uhusiano/relationship between maisha na tabia so tujaribu kuchunga tabia zetu kwakua huweza kutupa positive or negative effects...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Wakuu karibuni hapa tupeane taarifa yoyote inayohatarisha mitihani hii inayoanza kesho. Lengo hapa ni kuwasaidia wanausalama wetu na vyombo vyote vinavyohusika kuthibiti viashiria na vitendo vyote...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu, Nimeona niwashirikishe hii: HESLB yatoa siku 90 walikosa mikopo kukata rufaa Na Mwandishi Wetu Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetangaza siku 90 kuanzia leo...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Hapa najiandaa kubeba mabegi angu kurudi mkoa ...nakumbuka tuu Maneno yako hakuna mwanafunzi ataekosa mkopo kama una Sifa lazima upate mkopo..leo imebaki story.. Mm binafsi siamin siasa hata siku...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Hapa chini ni nukuu kutoka kwa Mtanzania anayesoma nchini Marekani ambavyo anauelezea mfumo wa Elimu nchini Tanzania. Naomba tuijadili objectively kwa kuangalia tafsiri ambayo mtu anaweza kuipata...
0 Reactions
3 Replies
772 Views
Za mchana wadau. Jaman me English yang sio nzuri Asa kwenye kuongea So iwant to Learn more Wapi nitapata British councell nzuri? na huo unajifunza kwa mda gani ? Nikisubili mwakani kuanza chuo
0 Reactions
33 Replies
7K Views
Wakuu samahanini,nna ndugu yangu amechaguliwa na NACTE kwenda st.joseph university kile cha mbezi kuchukua ordinary diploma in Information Technology.....sasa hadi leo haijulikan chuo kitaanza...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom