Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari zenu wakuu Kimsingi kumekuwa na mambo mazuri na chanya yanayofundishwa katika vyuo mbalimbali nchini zinazohusiana na mambo ya elimu lakini umekosekana uwepo wa kumuandaa mwalimu kihalisia...
0 Reactions
0 Replies
825 Views
HII KITU ILIKUWA NI KUPOTEZEANA MUDA AU? #hesabuwito
3 Reactions
26 Replies
4K Views
Anaandika Dr.Semeni Nyerere (MD). Nimecheka sn. Mpwa wangu kachaguliwa UDSM kuja kusoma Bachelor of Arts with Education. Katoka kijijini kafika chuoni kakuta hana mkopo hata Tsh 0. Wenzake...
8 Reactions
17 Replies
2K Views
habar wana jf...naombeni kupata links za mikopo ya juu..ukiweka mbali heslb.plzplz
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Nielewavyo mimi hizi ni taasisi mbili zinazofanya kazi kwa kutegemeana sasa napata wasiwasi juu ya utendaji wa hizi taasisi hivi hawa TCU zile course za arts hususani BaEd and Beds kuwekewa...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Habarin ndugu zangu,, huu uzi nauanzisha kwa kuwaweka pamoja wanafunzi wa mwaka wa kwanza katika program mbali mbali katika chuo kikuu cha dodoma,, kupeana taarifa za awali kuhusu chuo na hata...
2 Reactions
75 Replies
8K Views
Kila siku zinavyokwenda naendelea kupata funzo zaidi ya funzo ya kwamba huwezi kujua neema uliyokua nayo mpaka ikutoke. ukisema Tanzania ya nini ujue labda hujafika Sudan. Ukisema JK wa nini ujue...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Mtihani wa Taifa kidato cha nne kufanyika kesho, watahiniwa 408,442 kufanya mtihani, watahiniwa wa shule ni 355,995 na wa kujitegemea 52,447.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi ni diploma holder mwenye GPA ya 3.2 nilomba chuo kupitia NACTE tokea mwezi wa 8. Lakina mpaka sasa majibu ni hola kwenye profile yangu wameandika wait for next selection. Ndugu zanguni hata...
0 Reactions
41 Replies
4K Views
Wana JF naomba kuuliza iv bodi ya mkopo inaweza Kutoa 2 batch au ndo imeishia hapo
0 Reactions
12 Replies
2K Views
wakuu tcu walitoa chance ya watu waliokosa kuapply tena ....wakafunga system kwa ajili ya selection..then cas haipatikan....cjui na nyie mnalipata tatizo hilo
0 Reactions
5 Replies
736 Views
Eti unampa mtu mkopo kuanzia mwaka wa kwanza,akifika wa tatu unasema hana vigezo vya kukopeshwa!!Ni kheri usingempa kabisa kuanzia mwaka wa kwanza ili ajipange atasomaje au asiende kabisa...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
The idea is of significance because tomorrow is prepared by today, lets educate the children for a bright tomorrow!
1 Reactions
2 Replies
713 Views
HESLB wameamua kufyeka majina ya wanafunzi wanaoendelea na hakika itakuwa kilio nchi nzima na mbaya zaidi mwanafunzi kafikia hatua fulani kwenye masomo yake. Rais p/se bajeti yao ilipitisha na...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Kwa taarifa nilizopata kutoka bodi ni kwamba j3 tar.31 oct.2016 ndani ya mwezi moja wanafunzi wanaoendelea watahakikiwa kwa kuzingatia vigezo mbalimbali vya ukopeshaji wa mikopo hiyo. Bodi...
7 Reactions
16 Replies
2K Views
Dah tulipewa mkopo awamu ya kwanza na tuka sign hadi boom lakini cha ajabu mambo yamebadilika saiv loan status inaandika "not allocated loan in the first bach" na tumeondoshewa mkopo wote Sasa...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Kuna rafiki yangu amepigiwa simu na mtoto wake anayetarajia kuanza mitihani ya kidato cha nne jumanne ya tarehe moja kwamba amtumie fedha elfu 80 kwa ajili ya kuwahonga wasimamizi , sasa...
4 Reactions
39 Replies
3K Views
Wadau kuna mdogo wangu anatafuta collage ya diploma in clinical medicine au medical laboratory, naomba anaefaham chuo nnachoweza kumuombea kwa sasa anijuze kwa direct kupitia chuo husika...
1 Reactions
3 Replies
791 Views
Habari waungwana, Leo mkurugenzi mtendaji wa bodi ya mikopo nchini, Abdul-Razaq Badru akitoa ufafanuzi wa mambo mbalimbali kuhusu mikopo kwenye ukumbi wa habari(MAELEZO) amesema zaidi ya asilimia...
2 Reactions
28 Replies
5K Views
Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo Bw. Abdul-Razaq Badru akifafanua jambo katika mkutano na wanahabari jijini Dar es Salaam leo (Jumapili, Oktoba 30, 2016). Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi wa...
0 Reactions
37 Replies
9K Views
Back
Top Bottom