Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Ndugu zangu mimi nilihitimu diploma mwka 2009 na kupata GPA ya 2.9 kwa bahati mbaya sikuwa na Pesa ya kujiendeleza kwa kipindi kile kwa maana ata hiyo diploma nilikuwa najisomesha mwenyewe...
2 Reactions
69 Replies
13K Views
Kwa wanafunzi ambao wameaply ktk round ya NNE na ya mwisho hasa kwa ngazi ya cheti na Diploma mpaka sasa kwenye profile zao hazijatoa majawabu ya wapi wamechaguliwa. Kwa mwenye kufahamu ni lini...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
BEDECCA is an NGOs which deals with educating and counseling societies about the negative effects of absenteeism, and the importance of education to children. Some of communities do not know the...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habarini wanajamvi. Mnamo tarehe 17/10 kun tangazo la TCU lilisambaa kuhusu kufanya uhakiki. Lakini mimi nimejitahidi kutafuta namna ya kufanya lakini nimeshindwa. Kama kuna aliyeweza atujuze...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Kuona majina ya walipata mkopo UDOM, Bonyeza HAPA
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Tanzania: JPM - No Student Will Miss Out in Loans Tagged: East AfricaEducationGovernanceTanzania Tweet Share Google+ By Deogratius Kamagi Dar es Salaam — President John Magufuli yesterday assured...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Kwa wale tunao soma masomo ya sheria na mlio maliza waalimu mtusaidie kutuelekeza hapa masomo mbalimbali,tutashukuru kwani nafahamu siko peke yangu,msaada zaidi
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ni mwezi mmoja na wiki moja sasa tangu tufungue chuo (MWENGE CATHOLIC UNIVERSITY) hatujapata fedha ya kujikimu na hatujafaham sababu kuu ya ucheleweshaji huu. mateso haya tunayoyapata sisi...
1 Reactions
27 Replies
3K Views
Habari za mda huu ndugu zangu wapendwa wanajf. Naomba msaada juu ya hili, Mimi ni mwanafunzi wa chuo mwaka wa kwanza na kwabahati nzur nimepata mkopo lakin sjajua nivipi naweza jua asilimia...
1 Reactions
11 Replies
4K Views
Baraza la Mitihani la Taifa limetangaza matokeo ya kumaliza elimu ya msingi (PSLE) ambayo yameonyesha ongezeko la ufaulu kwa asilimia 2. Akitangaza matokeo hayo leo (Alhamisi), Katibu Mtendaji wa...
6 Reactions
67 Replies
48K Views
Nimesomaa habr katika gazeti la mwananchii kuhusu baadhi ya shule kufutiwa matokeo ya darasa la saba na nyinginee ni shule za binafsi zinazotoza gharama kubwaa nimeskitikaa sanaa na nimeanza...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari zenu wanajukwaa, Nawapongeza kwa ushauri chanya ambao mmekuwa mkitoa katika jukwaa hili.Nilitaka kujua kama kwa mfumo wa elimu yetu Tanzania unaruhusu mtu kusoma bachelor degree zaidi ya...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Habari wadau, kwa ambao wamepita na wanaosoma au wanaijua open university ninaomba kujuzwa ada yake pamoja na direct costs kwa ujumla hususani kwenye kozi za BBA.Nimejaribu kupitia website yao ila...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Wakuu habari naomba kujua aliyesoma diploma DIT na amechaguliwa degree DIT ambaye amepata mkopo tayari
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Kuna hii list ya majina ya waliopata mkopo nimetumiwa hebu ipitie waweza kuta jina Lako
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Namkumbuka DC aliyeamuru waalimu watandikwe bakora huko kagera Albert Mnali hivi ingekuwa ni zama hizi za hapa kazi tu maamuzi yangekuwaje? JPM angemfuta kazi?
0 Reactions
0 Replies
755 Views
aliyechaguliwa hapo anitafute nimpe material ya first year yana jaza rum langu 0764673557
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Karibuni wadau tubadilishane mawazo katika maeneo hayo... M&E, PM, na Research!... Kama una maswali au jambo lolote karibuni!....
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Ni mwanachuo wa chuo kikuu cha dar es salaam,naomba udhamini katika masomo yangu. Kwa taasisi binafsi,shirika, mtu binafsi anaemiliki shule ya private,naomba tuwasiliane. Nachukua bachelor of...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
kutokana na kutokuwa na msimamo mkawa mnaongozwa ongozwa tuu kama hamjaenda shule sasa tunachotaka rudisheni pesa zetu za application tulizo zitumiaga ktk maswala mazima ya kufanya application za...
1 Reactions
1 Replies
866 Views
Back
Top Bottom