Wakuu habari zenu, napenda kujua wapi nitapata chuo chochote cha Afya kozi ya (Medical lab) Elimu ni kidato cha 4,(2015) Ufaulu ni Chemistry C Physics C na Biology D niliomba UDOM lkn hadi sasa...
Baada ya kukamilisha zoezi la Uchambuzi wa maombi ya Mikopo 88,163 yaliyopokelewa hadi kufikia tarehe 11 Agosti, 2016. Jumla ya Wanafunzi wapya 20,183 wamepangiwa Mikopo. Upangaji huu umezingatia...
Habari wakuu
Naomba mwenye softcopy ya kitabu cha veterinary parasitology fourth editon by
MA.Taylor
RL.Cool
RL.Wall
Nimejaribu kutafuta mtandaoni nimeshindwa kupata free copy vinginevyo ununue...
Mimi no kijana was form 6 PCB natarajia kufanya mtihani was taifa may2017. Nikikaa shule na wenzangu hua tunajadiliana maswala ya kozi
Wengi was rafiki zangu wanapendelea md Mimi npo tofauti...
NIKO KWENYE HARAKATI FULANI NINATAKIWA KUANDAA MAKALA YOYOTE KWA LUGHA YA KISWAHILI. IWE YA VIDEO YENYE MASAA MATATU.
MWANAJF NIPENI MICHANGO MAKALA YANGU IHUSU NINI AMBAYO ITAGUSA MAISHA YA WENGI.
Kwa heshima kubwa kabisa naombeni msaada wenu mdogo wangu kachaguliwa kusoma architecture mwaka huu (KWA SABABU MAALUM SITAJI JINA LA CHUO) sasa kwa bahat mbaya kapata taarifa kuwa kuna mtiti...
wasomi naomba msaada wenu. Nimechaguliwa kujiunga na degree ya socialogy lakini nahitaji kubadili nisome public relations(open university) inawezekana?
Habar wakuu poleni na uchovu wa kazi ni imani yangu nyote ni wazima
Mimi ni mwanafunzi kati ya wanafunzi waliochaguliwa na TCU katika chuo kimoja hapa mjini kutokana na HESLB kunitenda najianda...
Wapendwa naomba kujuzwa kuna mwanafunzi amechaguliwa kujiunga na chuo Mkwawa..awali jina lake lilionekana kwa wanufaika wa mkopo kwenye batch ya kwanza lakin alipofika chuo baada ya kukamilisha...
Wakubwa Shikamoo, wadogo habari za saa hizi
Jamani naombeni ufafanuzi juu ya technician certificate NTA level 5 na diploma
mtu ukachaguliwa NTA level 5(miaka2) ukasoma na kumaliza na ufaulu mzuri...
Chuo Kikuu cha Dodoma kimeendelea kuonesha jinsi kinavyojari wenye kipato cha chini. Kuna kitu kipya kimeleak. Kuanzia mwaka huu kama una mkopo chini ya 100% unaweza kufanya usajili kabla hujalipa...
Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kupitia Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) jana October limetangaza matokeo ya mtihani wa Darasa la Saba huku ikionesha kuwa UFAULU umepanda kwa asilimia 2.52...
Kama mnavyofahamu teyari serikali imeshaandaa mtaala mpya na baadhi ya walimu washaanza kupata mafunzo ya mtaala huo mpya.....
Yapo baadhi ya mambo mazuri katika mtaala huu ambayo mimi binafsi...
Daaah hii serikali yetu ya mwendo kumnembe aka mwendo kasi ni noumaaaa. Hii ni baada baada ya wanafunzi wapatao 25 kushindwa kupelekwa Algeria kwa ajili ya kupata shahada zao. Wengi wa wanafuzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.