Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
wakuu naombeni mnisaidie hivi kwa anaaenufaika na mkopo kutoka kwa bodi ya mikopo akirudia mwaka wa masomo (mfano mtu anaaetakiwa kuendelea na mwaka wa pili anarudia kusoma tena mwaka wa...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Wanajamvi mweny kujua chochote kuhusu hiki chuo, uzoefu nacho, location, accommodation na vngne kama vipo.... Karibuni
1 Reactions
32 Replies
6K Views
NACTE jana imesitisha ufanyaji wa mtihani wa taifa kwa kozi ya COMMUNITY HEALTH ambapo watahiniwa wangehitimu Leo. Ombi langu kwa NACTE ni: watoe tamko wazi kama watahiniwa wataendelea na masomo...
0 Reactions
1 Replies
914 Views
Deleted by user...[emoji57]
6 Reactions
10 Replies
2K Views
Mfumo wa udahili wa wanafunzi wanaoomba nafasi ya kujiunga na chuo kikuu umefungwa. Vijana bado wako kwenye mchakato wa kuomba nafasi lakini kuanzia leo jioni system imepotea kabisa hewani...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
. GPA huesabiwa mwaka UPI chuoni?? Ningependa kufahamu huu mfumo wa GPA kwa level za degree hususani ile ya accountancy, finance, banking, procurement, n.k huanza kuhesabiwa mwaka wa ngapi na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wanajamii forum naomba msaada wenu nahitaji nijifunze bibulia kiundani zaidi, ningependa kuelekezwa chuo kinapopatikana umri wangu ni miaka 29 nna mke na mtoto mmoja. Mawasiliano yangu 0782887101
0 Reactions
11 Replies
10K Views
Sasa ni dhahiri kwamba serikali kupitia NACTE imewanyima nafasi ya kusoma vyuo vikuu wahitimu wa Diploma kutoka vyuo vya mifugo nchini! Hii ni hatari kwa sekta hiyo na wanafunzi hao ambao...
0 Reactions
15 Replies
5K Views
https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1139050/ Profile inavyokuwa hiv inamaanisha nini??
1 Reactions
0 Replies
879 Views
Education is a modern nuclear power if we make a mistake imparting, the outcome is devastating and becomes later root cause of every social evil.....
0 Reactions
0 Replies
540 Views
Niaje watu wangu wa Nguvu. Chuo kinafunguliwa rasmi j3 yaan trh 31 jpo wapo walioanza kufika tangu jana j5. Kwa mahitaji ya kudownld na kuprnt admission later na form nyingine ufikapo ndani ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Asalam Aleykum ,JF members Napenda kujua jinsi nitakavyoipata admission letter ya diploma in pharmacy ya UDOM.Anayejua tafadhari!!!!
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Jaman nngependa kuuliza iv ukiwa unasoma chuo fakat flan je unaweza kubadili mfano unasoma MD ukasoma nursing iz it possible hususan kwa as mwka Wa kwanza
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Wakuu naombeni ushauri wenu,najua humu kuna wataalam wa haya mambo.Nimehitimu form six lakini bado sijajua niombe nini ila mapendekezo yangu ni Engeneering mbili hizo,Nisome ipi, ingekuwa vizuri...
1 Reactions
32 Replies
5K Views
Form two timetable Ni 14 November
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wizara ya Mikopo Chuo kikuu Dar es salaam inawatangazia wanafunzi wote na kuwapa mrejesho juu ya masuala ya mkopo kwa wanafunzi wanaoendelea na mwaka wa kwanza. 1. WANAOENDELEA NA MASOMO...
1 Reactions
15 Replies
4K Views
habari wadau.. mwaka jana kila mtu aliupata mkopo hadi wasiotegemea kuupata nao waliupata. kozi zote zilineemeka na vyuo vyote cbe, ifm, udsm, tia hadi walioomba mkopo kibahati tu maana...
2 Reactions
40 Replies
6K Views
Msaada jmn kwa non degree kutakuwa tena na muda w kufanya transfer au ndo 2017 tens
0 Reactions
3 Replies
733 Views
Habari za jioni wanajf. Naulizia kama kuna mtu amesoma masters ya chuo cha JomoKenyata tawi la Tanzania..anipe experience yake, wako vizuri? Kwa maana ya ufundishaji na facilities nyingine.
1 Reactions
1 Replies
791 Views
Msaada Kwa Anaekifahamu chuo cha Ualimu singida nahitaji mawasiliano ya chuon pia fomu husika kwa ajili yakujiunga.
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Back
Top Bottom