Viongozi wamewataka wanafunzi wote, kutosaini pesa za kujikimu mpaka pale wanafunzi wote watakapopewa elfu nane na mia tano kwa siku kama ilivo kawaida.
Sikiliza audio
KITENDO cha wanafunzi wa...
Wakuu hali inazidi kuwa ngumu..!!
Siku hizi nakula mlo mmoja tu usiku.
Tena wali maharage 1000/=
Bila hata maji ya kunywa.
Wazazi hawana pesa wanasema wamekopa mpaka wamechoka.
Naombeni ushauri...
Mdogo wangu aliapply chuo nacte toka mwezi wa sita mpaka leo hajapata majibu je kuna uwezekano wa kupata?
Yeye ni diploma holder ya information technology na ana GPA ya 3.7
Wadau kama mada inavosema apo juu.. bahana npo udsm first year nliomba civil na electrical but nimechaguliwa civil sasa natakaa nihamiee Electrical
Vipi wadau naombeni ushauri wenu katika haya...
Habara wakuu
Naandika haya kwa kuwa kuna baadhi ya vyuo nchini vikiwa vinatoza direct cost kubwa ambayo no zaidi ya ada ya semester moja
Mfano kunachuo kipo bagamoyo ada take n 1250000/=tshs...
Nimechaguliw awamu ya tatu na coz nloipata niliijaza mwisho na sikuwa na malengo nayo, naomba kuuliza kama kuna uwezekano wa kufanya transfer kwa muda huu?
Aliyekuwa Waziri wa Elimu katika Serikali ya Awamu ya 3 ya Raisi Benjamin Mkapa, Joseph Mungai, afunguka na kujadili kwa kina kuhusu mafanikio yaliyopatikana katika elimu Tanzania wakati wa...
HAbari wanandugu wa jamii forum
Hivi anavyofanya Ndalichako ni kuua elimu ama kuinua elimu? Kwa sisi wenye diploma tunaotaka kujiunga na chuo kwa mwaka huu wa masomo wametuzungushaa weee mwsho...
Kwa yeyote anayesoma Koz ya Medicine kampala international university dar es salamu naomba anijulishe topic ambazo wamdshasoma Kuna mdogo wangu bado anasotea Ada ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.