Msaada kuhusu hiki chuo naombeni kujua kama hiki chuo cha kilimo taifa in cha serikali au lah!
Na je kimesajiliwa??? Plz kama unachochote hebu nisaidie
Kwa heshima kubwa kabisa . naomben ushauri wenu nina mdogo wangu kachaguliwa kusoma Architecture sasa bahat mbaya ye alisoma HGE(KAPATA DIVISION 1 POINT 7) japo O level alisoma science na...
Nini hatima ya maisha ya hawa vijana waliokuwa wakisoma kozi hizi:
· Higher Diploma in Secondary Education (3yrs)
· Ordinary Diploma in Primary Education (3yrs)
·...
Habar zenu wadau
Poleni na Majukumu ya hapa na pale katika Maisha.
Nimepata Sponsor ameniambia nichaguwe kozi moja ya kusoma kati ya hizo mbili.
Je ukisoma ipi hapo itakuwa na future nzuri hapo...
Naomba mnisaidie majibu ya maswali yafuatayo;
1. Tathimini ya matumizi ya saikolojia katika Elimu
2. Mapungufu ya matumizi ya saikolojia katika ujifunzaji na ufundishaji mashuleni.
Zimetajwa nchi zenye Vyuo Vikuu vingi na bora zaidi duniani.. Afrika ni ya Mwisho:
Zimetajwa nchi zenye Vyuo Vikuu vingi na bora zaidi duniani.. Afrika ni ya Mwisho - millardayo.com
Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imetakiwa kuhakikisha programu za masomo zinazoanzishwa na vyuo vikuu nchini zinazingatia mahitaji ya taifa na soko la ajira.
Rai hiyo imetolewa leo Jijini Dar es...
Nataka kubadili course ila chuoni wananiambia nisubiri kama NACTE watatoa transfer kwa anayejua kua wanaweza kutoa kwa lini anisaidie[emoji59] [emoji59]
Kwa wale walioomba transfer vyuo vingine mfuatilie wengine wameshajibiwa kama upo mikoani ni vizur kuwapigia cm chuo unachotaka kuhamia ili wakupe jibu
Wakuu hivi karibuni nimekuwa na shauku ya kusoma kozi ya Education in mathematics. Katika kutafuta chuo, nimekuta hii kozi imeongezewa Informatics ndani yake. Mimi nina Diploma in Electronics and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.