Jaman naomba kuuuliza.maswali tatatu.
Je umri ni kigezo kinachoweza kumfanya MTU acpate mkopo was chuo?
Swali la pili je.kama nliwahi kuomba TCU Mara mbili na kuchaguliwa lakini sikuenda chuo...
MKIMALIZA MASOMO mje muisaidie jamii kwa kile mlichokipata chuoni, sio mkikosa ajira mnasema tukalime au kufuga kuku, kila mtu kwa taaluma yake aitumie kujiajiri hapo maendele tutayafikia haraka.
Habari zenu
Nilikuwa najaribu kuingia tcu kuchek kama Niko selected imeniletea hivyo na nimeingiza form 4 index na e-mail pia majibu ni hayo hayo..Nisaidieni ina maana gani hii??
Kumbukumbu ya miaka 55 toka kuasisiwa kwa chuo kikuu Dar es salaam yanaendelea hapa chuoni,chancellor hon.Dr.J.K Kikwete yupo kama mwenyeji! Prof.Tade Aina toka Nigeria,jaji mstaafu Warioba na...
Amani iwe nanyi ndg zangu.
Upo msemo usemao adui wa walimu ni mwalimu mwenyewe.
Katika nchi hii walimu wanashiriki ktk kujenga tabia ya kudharauliwa na wakuu/waajiri wao.
Hivi ni njaa au kitu...
Tujifunze baadhi ya vifupisho kama vipo vingine share ili kila mtu apate kujua kwani imekua shida sana kwani si kila mtu anajua baadhi ya
vifupisho share ili tujue sote
MMI NIMEANZA NA HIVI HAPA...
Habari wakuu.
Moja ya kazi za mwalimu ni kusahihisha(marking) na kupanga matokeo. Okoa muda wa kufanya zoezi hili kwa kutumia Ms excell iliyoratibiwa ambapo wewe utarekodi Jina na marks tu za...
Huyu mtu kamaliza mtihani wake wa diploma in dental thrapy NTA level 6. sasa unampa GPA ya ngapi maana kaaply na smekosa vyuo vyote.Hawa NACTE wanapangaje?
73-
60-
60-
57-
58-
60-
Sasa huyu...
Wakuu naombeni msaada namna ya kuomba transfer. Ni procedures zipi inatakiwa nifuate? Kuhusu kigezo cha kujua kama chuo bado kina nafasi, je inatakiwa niende direct chuoni kuulizia kama kuna...
Hawa jamaa inabidi warudishe pesa zetu kama vigezo vya kujiunga na Bachelor tulikosa haliakuwa tulifanya application mwezi wa Tano wakati GPA ilikuwa 2.7 na guide book ilikuwa inaonyesha hvyo na...
Majina ya waliochaguliwa jordan university kwa awamu ya kwanza na pili yameshatoka na kama wewe ni kati yao basi pita hapa tujuane na kwa whatsup group WASILIANA NA NO 0745709844 group lipo tayali
Hii kitu inanchanganya pia inanichekesha sana, eti mtu amesomeshwa kuanzia chekechea mpaka six kwa pesa za mzazi wake ila mtu hilohuyo huyo amekifika chuo analazimisha apewe mkopo ,sasa suala la...
Majina ya wanafunz waliofanikiwa kuchaguliwa university of Iringa yametolewa.
Kuona majina, bonyeza hapa
Nawasilisha
Vile vile wanafunz mnaweza kujadili mambo mbali mbali kuhusu chuo hapa hapa...
Nataka nifanye maombi ya kuhamia katika vyuo tajwa lakini nataka kujua kuna kozi gani ambazo zina nafasi ili niangalie kama ni kati ya zile ninazozihitaji.
Ahsante
Uongozi wa wanafunzi vyuoni 'kupoteza kiaina' fedha iliyokusanywa na wanafunzi ili kukidhi mahitaji yao kwa kipindi waliokuwa vyuoni bila wanafunzi wenyewe kujua imetumikaje,NA statements...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.