Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Wadau wa hiki chuo First year tujuane humu Ama veepe
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu naombeni msaada ni kozi gani itanifaa kusoma chuo nimemaliza form 6 HGL kati ya POLITICAL SCIENCE AND PUBLIC ADMINISTRATION UDSM, LAW UDSM , HUMAN RESOURCES MANAGEMENT TIA, AU REGIONAL OR...
0 Reactions
44 Replies
9K Views
Wakuu kipi bora kati ya elimu bure kutoka darasa la kwanza mpaka kidato cha nne au mkopo kwa wanafunzi wote wa ngazi ya chuo kikuu bila kujali kozi husika ?
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Nimekuwa nikifanya application awamu ya pili na ya tatu. Awamu hizo zote nilikosa kupata chuo. Leo tar 24 limefunguliwa dirisha kwa awamu mpya ya nne ya kuchagua tena vyuo . Ila cha kushangaza...
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Habari wanajf. Nilikuwa nauliza madhara ya kuhama kozi katika chuo hicho ulichopangiwa na Mikopo inakuaje kama umepata alafu unahamia kozi nyingine je kunakuaga na shida gani
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Anayefahamu naomba anijuze tofauti ya hizi coz, ajira zake zikoje na unaajiriwa wapi
0 Reactions
6 Replies
7K Views
Sielezei sana ila nina uhakika kwa muelewa atakuwa amekwishaelewa,hapa serikali ilibidi iwe inatuma yenyewe vifaa full kwa ajili ya mitihani na siyo kuwapa walimu waandaaji pre-instructions ambazo...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari zenu wana JF. Mimi ni mmoja kati ya Miderector wanao dahili wanafunzi TCU. Lengo la kuanzisha Uzi huu ni kuwapa mawazo na mbinu katika uchaguzi wa vyuo kulingana na matokeo yako. Kwani...
5 Reactions
209 Replies
24K Views
Hivi kuna update yoyote Toka NACTE kwa wale wa certificate na diploma? maana website yao haifunguki toka jana usiku, Asanteni[emoji419]
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Mtu yeyote alorudia mtihani kwa 4m 6 kwa pcm au pcb anipe mrejesho kweli kuna kutoka manake kuna ndugu yangu kapata 3 ya 15 anataka kurudia mshaurini VP kuna kupenya au inakuaje????
0 Reactions
6 Replies
805 Views
Haya wale wa Tumaini University Dar es salaam Collage tukutane hapa tupashane taarifa.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana Jf kuna ndugu yangu kapangiwa hicho chuo. so kama kuna mtu anakifahamu naomba anisaidie kipo maeneo huko dar
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Salam Wanabodi, Tujitwike mzigoni. Ikiwa zimepita siku chache tangu serikali kupitia Naibu Waziri wa Elimu Mh. Stella Manyanya kutoa taratibu mpya juu ya utoaji wa Mikopo kwa wanafunzi wa Elimu...
23 Reactions
101 Replies
11K Views
Mh.Eng.Stella Manyanya-N/Waziri wa Elimu,utamaduni na Michezo. SERIKALI iko katika mkakati wa kuwabana wanafunzi wanaopewa mikopo katika fani za kipaumbele, kutumikia katika utumishi wa umma...
3 Reactions
22 Replies
4K Views
Habari wanajf,hii course Niliichagua consciously bt ningependa msaada wenu,je iko poa au siyo,,nilitaka nikabadili nichikue MD nikienda chuo_muhas
2 Reactions
35 Replies
7K Views
Wadau,Kama umechaguliwa Eckerniforde Tanga university au Chuo chochote kilichopo jijini tanga,Mimi Ni mwenyeji ambaye nimezaliwa Na kuishi Sana jijini tanga,,,,, maisha ya tanga hayatofautiani Na...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Wandugu..... Mdogo wangu kachaguliwa hiyo kozi chuo kikuu cha sokoine sua,,,,naomba mtu ambaye yuko kwenye hiyo field au yeyote mwenye kujua anisaidie yafutayo:: 1. Kama ni ajira unaajiriwa...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Back
Top Bottom