Nakuombeni kwa watakao na nasaha tuwape ndugu zetu, kwani chuo si advance school. wengi huteleza na kupata disco na kurudi kijiji akiwa amechanganyikiwa..
Wakuu mimi nimehitimu shahada ya kwanza ya Electrical naomba msaada kwa anaefahamu Makampuni ya Electrical ambayo naweza kuomba kazi,
Hii itaniongezea wigo kwa kujua Makampuni mengi zaidi.
Asanteni
Habari za saa hizi wanaforum, Kwa mliofanya application kupitia TCU/NACTE CAS haswa wanaotumia vigezo vya Diploma nimegundua kitu hiki kuwa ukijaribu kuingia kwenye akaunti kupitia NACTE...
Bodi ya Mikopo Ya Elimu Ya Juu Zanzibar Yasitisha Kutoa Mikopo Kwa Wanafunzi Vyuo Vikuu
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein ameiagiza Bodi ya Mikopo ya...
Samahana wana JF kwa ambae alikosa mkopo mwaka jana katika batch la kwanza na hakuwa na pesa ya Registration
mbinu gani alitumia mpaka akaendelea na chuo kama kawaida baada ya jina lake kutoka...
Habari za muda huu wanajamvi
Poleni na hongereni kwa pilika za kuutafuta mkate wa kila siku
Kutokana na ubovu wa systems za vyuo baadhi vya afya kuwa na utaratibu wa kupandisha ada wapendavyo...
Jf naomba mwenye kujua jinsi ya kutengeneza Automatic formula ya PAYE kwenye payroll kwa kutumia Excel. MF. Mtu mwenye salary
20000-50000 akatwe 4% of gross salary
60000-90000 akatwe 6% of gross...
Habari,
Nataka kuanza kujifunza vifaa vya mziki kama guitar na kinanda, wakati wa jioni kuanzia saa moja usiku kuendelea.
Naomba ushauri wa wapi naweza pata mwalimu au shule ya namna hii hapa dar...
1.Food science & technology
2.environment science & management
3.environment engineering
4.applied zoology
Naomba maelezo kuhusu hizo course hapo juu.Manufaa yake yakoje hapo mbele yaani...
Afadhali tarehe ya kuripot NIT 28 november 2016 manake kama kuandamana kuhusu mkopo watakuwa wameandamana sanaa na kitakuwa kimeeleweka.
Kuona ratiba nzima, Bonyeza HAPA
Hawa wameambiwa warudishe pesa walizokopa ili wakopeshwe wengine nauliza je mafisadi walioifilisi nchi hii kufika hapa ilipo kwa kuiba pesa na mali zetu watanzania kwanini hawaambiwi kurudisha?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.