Nan aliyesoma SAUT Mwanza? Ni chuo ambacho kinatoa competent graduates. Zao la pale kwa kweli huwa limeiva. Kwa vijana wanaotegemea kujiunga first year pale wawe na amani kabisaaa. Cha muhimu zaid...
Wadau hebu nisaidieni kuna watu wakiangalia profile zao za bodi ya mikopo wanaandikia NOT ALLOCATED FOR FIRST BATCH wengine wanawekewa LOAN BREAKDOWN pasipo kujaziwa amount sasa tofauti iko wapi ???
habarini za muda huu wakuu
Kwanza napenda kutoa pongezi zangu za dhati kwa uongozi wa chuo kikuu cha Dar-es-salaam kwa juhudi zao juu ya hili suala la mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu
Pili...
Naangalia taarifa ya habari hapa TBC, serikali ya wanafunzi UDSM wamepeleka malalamiko yao kuhusu kutoridhika na mgawanyo wa mikopo kwa wanafunzi waliopata mkopo,wametoa maelezo yao safi kabisa...
Wanafunzi wote mnaotaka kuhama vyuo muwe makini hakuna chuo kitakachokupokea wakati bado vinahitaji kudahili wanafunzi 4500 kwa awamu ya nne,kuweni wapole na msome pale mlopochaguliwa huu mwaka...
One of the safety measure of the physics laboratory is
In a storage building,physics laboratory should be in the lowest floor.why?
Anayejua sababu hiyo point
Wakuu samahan naomba kuuliza kuna mwanafunzi mwenye diploma aliyechaguliwa kujiunga degree amepata mkopo? kama upo naomba kufahamu umemaliza diploma mwaka gan? maana mim nimemaliza diploma 2013 na...
Salaam
Naitaji Msaada Kwa Yeyote Mwenye Kukijua Chuo Hiki.
Kuna Jamaa Amenishauri Nikapige Pale Na Mimi Na Mpango Wa Kusoma Md Nina Ufaulu Wa Div Three Ya Point Kumi Na Tatu Pcb.
Kwa Anaye Jua...
Ni wakati wa wazazi wetu kufundishwa adabu na kusomeshwa no
Tukiwaambia kwa maneno ubaya wa CCM huwa hawaelew hivyo sasa utawala huu umeamua kuwaonesha kwa vitendo
Wamepata 21 kati ya 88 maana...
Kwa wale wanafunzi wanaotarajia kujiunga na elimu ya juu..( chuo kikuu ) tunapenda kuwaletea offer kabambe ya Laptop computers zenye uwezo wa hali ya juu kama ikivyojieleza kwenye tangazo hapo...
Ndugu kuna uwezekano wa mwanafunzi 4m 4 failure.. Mwenye Div 4 ya 26... Yaan C moja ya math... Mwenye first class diploma... Na first class degree... Courze Accouting... Chuo Mzumbe... Kupata...
Maoni Yangu Ya Wazi
Ndugu Watanzania, binafsi katika mambo ya msingi ambayo ningependa kuona nchi ikiyapa kipaumbele ni Elimu. Mimi ni mwanafunzi bado na mnufahaika wa Bodi ya Mikopo. Lakini...
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
AWAMU YA PILI YA WANAFUNZI WALIOPANGIWA MIKOPO KWA 2015/2016
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) inapenda kuwafahamisha waombaji wa mikopo kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.