Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Ivi kuna chuo chochote kina chukuwa wanafunzi wenye D E S form 6 , waende kusoma Degree.
0 Reactions
1 Replies
802 Views
Baada ya loan breakdown kutoka nimeona wanafunzi wote wanaosoma Bsc I. aquaculture hawajapangiwa pesa za field and practical training. Ina maana hii kozi huwa hawaendi field au? Hivi kweli...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Bodi ya Mikopo inabidi iendane na utandawazi na uwazi pia. Inabidi wadaiwa wayafaham madeni yao kwa urahisi. Ushauri wangu ni kwamba kama ilivyo kwa TRA, waandae mfumo wa message ambao utakuwa...
0 Reactions
5 Replies
968 Views
Kwel tulikutegemea sana katika hili suala la utoaji wa mikopo baada ya Rais kukuteua tulifurahi kwamba sasa neema imeonekana lakini cha kushangaza mama yetu leo hii bodi na naibu wazir anatangaza...
2 Reactions
21 Replies
3K Views
Ivi kuna board yoyote inayotoa mkopo kwa wanachuo wanaosomea diploma kwa mwaka wa masomo 2016/2017
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wanajamii forum naandika Uzi huku nikiwa na mawazo mengi kuhusu nini hasa hatima yetu sisi tuliomaliza kidato cha sita mwaka huu na tukiwa hatuna uhakika wa kuendelea na masomo kutoka na hali...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
wakuu za jion kwa jina naitwa noel . nilichaguliwa kujiunga na chuo kikuu kinacho itwa Cavendish univasity Uganda . na pia mm ni mwajiliwa selikalin so niliomba luhusa ya kusoma nikakataliwa .sasa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naendelea kuwakumbusha nchi ya viwanda hii..MIKOPO ipo wanafunzi wenzangu tuliokuwa hatujatarajia kuingia Street University Bonya hapa
0 Reactions
1 Replies
659 Views
Habari wana JF, Kutokana na kazi kuwa ngumu kupatikana hata watu wa masterz wameamua kuficha magamba yao wakati wanaomba kazi. Wanakuwa na masterz lakini wanaomba kazi za ordinary degree na...
4 Reactions
48 Replies
5K Views
Jamani katika vyuo vya hapa Tz ni kipi kinatoa kozi za urubani,nina mdogo wangu amefanya vizuri A'level na hataki kozi yoyote zaidi ya hyo. Please ur advise.
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Jamani naomba mnisaidie hii course ina husiana na nini na je mtu wa HGE anaweza soma?? Ipo UDOM
0 Reactions
33 Replies
8K Views
Wale wa MU BAF tutambuane hapa nakujuzana mambo ya hapa na pale kuhusu MU
0 Reactions
1 Replies
549 Views
Njoo buchosa sengerema nije geita Idara msingi namba za cm 0754530062
0 Reactions
0 Replies
677 Views
0 Reactions
5 Replies
2K Views
medical laboratory technology, health laboratory technology na medical laboratory science(in service) je kuna utofauti upi au ni lugha moja tu wadau?
0 Reactions
2 Replies
570 Views
Nianze kwa kukupongeza mdogo wangu uliyepata chuo bora kuliko vyote Tanzania. Naamini ni juhudi zako pamoja na Neema za Mungu upo hapo. mlimani chuo kizuri sana LAKINI umakini mkubwa sana...
3 Reactions
14 Replies
3K Views
Wanajamvi Kuna ndugu yangu kachaguliwa Bachelor degree in accountancy ya pale CBE, sasa dogo ana wasi wasi labda chuo sio kizuri kwa upande wa bachelor's, vipi wanajamvi hiki chuo kiko vizuri...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
fungua hii link chini hapa kuona majina, http://www.suanet.ac.tz/phocadownload/loan_1styr2016_2017.pdf
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hivi ni kweli UDSM majina yametoka ya kusaini boom? naomba msaada kwa walioko chuoni.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
anaesomea B.Comm in A/c UD naomba kutambua uwepo wako, mpaka leo sijatia maguu kwenye lectures naomba mwongozo/updates asee! Asante.
1 Reactions
0 Replies
934 Views
Back
Top Bottom