Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari zenu kwa wale ambao tumechaguliwa kwa fani ambzo zipo chini ya COICT UDSM, shule imeshaanza na ratiba ya vipindi inapatikana shuleni kijitonyama usiifuatae ratiba ambayo inauzwa stationery...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nipo idara ya elimu sekondari Musoma(M) natafuta mwalimu wa kubadilishana kituo kutoka eneo lolote la morogoro,Dodoma,iringa au mkoa wa pwani!tuwasiliane 0625792678
1 Reactions
0 Replies
677 Views
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Mafunzo ya Ufund, Stella Manyanya. SERIKALI imetoa Sh bilioni 80 kwa ajili ya malipo ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu wanaoanza na wanaoendelea na masomo...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Nahitaji First Year waliochaguliwa IFM kuna vitu tufahamishane hapa
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Salaam kwenu ndugu! Wanafunzi wengi mwaka huu wamepitia katika misukosuko, shida na taabu nyingi hii kutokana na mabadiliko yaliyokuwa yakifanywa kila kukicha kwenye Elimu, TCU kubadili kwa...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Wandugu habari, Kwa walioko huko dar, Eti jamani majina ya NIT tayari? nmesikia kwmba majina yapo ubaoni chuoni. Namaanisha majina ya waombaji wa bachelor degree, naomba yeyote aliyepo chuoni...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Wanajamvi napenda kuliezea hili kwa masikitiko makubwa kuhusiana na BODI YA MIKOPO ELIMU YA JUU (HESLB) jinsi gani inavyopingana na sera ya Rais wetu kipenzi ya Hapa kazi tuuuu. Haya ni maneno...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
habari zenu wana JF Bachelor of prosthetics and orthotics. Hii ikoje asanteni sana wakuu
1 Reactions
18 Replies
5K Views
Naomba wajuzi wanielekeze kutumia email nikituma jumbe inaenda na neno la siri
0 Reactions
9 Replies
875 Views
Please mods msiunganishe uzi huu. Baada ya tukio la walimu kumshambulia mwanafunzi waziri wa elimu alifikishiwa taarifa mapema mno, tuliona reaction kwa kila aliyekuwa na mamlaka juu ya walimu...
4 Reactions
7 Replies
1K Views
STUDENTS SELECTED BY TCU TO JOIN ATC DEGREE PROGRAMMES STUDENTS SELECTED BY TCU TO JOIN NATIONAL INSTITUTE OF TRANSPORT(NIT) ALL BATCHES STUDENTS SELECTED BY TCU TO JOIN ST. JOHNS DEGREE...
0 Reactions
25 Replies
12K Views
Kwenye profile yangu mwanzoni walikuwa wameandika: The candidate did not secure a loan in the first batch. Sasa hivi wameandika "You have completed 0 of five stsges", Batch No: 0 Loan break down...
0 Reactions
25 Replies
6K Views
Jaman kwa waliobahatika kuchaguliwa saint john university course ya phamarcy au yeyote yule mwenye ujuz na hii course tujumuike pamoja katika hii thread ili kujua changamoto zake na hata...
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Samahani Sana wanajamii ,nilikua Nina uhitaji wa Mitihani iliyopita (PastPapers) ,za shule yoyote au Necta ya somo la Kompyuta Kwa shule za sekondari (Olevel) Form 1 - 4 Mwenye Nazo naomba msaada...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wanajamii habarini za kazi? Wakuu naombeni mnisaidie kuhusu mada tajwa hapo juu. Kwasasa nipo Singida na hamna madarasa ya kusoma CPA. Mpango wangu ni kufanya registration mwaka ujao January na...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wakuu, Kama tujuavyo, safari ya kuelekea vyuoni kwa wanafunzi imeiva na wengine wameshaingia, wengine wanajiandaa lakini pia wapo ambao hadi sasa hivi bado ramani haijakaa vizuri. Wengi...
0 Reactions
68 Replies
10K Views
Ngoma ipo kabisa nawakumbushia wadogo zetu wanaoripoti vyuo mbalimbali kwa level mbalimbali za elimu. Msibweteke tumieni muda mwingi kujifunza vinginevyo UKIMWI hautawaacha. Wale masharo na ma...
27 Reactions
87 Replies
8K Views
WIZARA ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi inatarajia kuvifanyia uhakiki wa ubora ubora vyuo vyote, vinavyotoa shahada nchini vya umma na vya binafsi kuanzia kesho. Kwa mujibu wa...
1 Reactions
61 Replies
17K Views
jamani nmesikia kuwa bodi ya mikopo imeachia second lot je ni kweli kwasababu nmejaribu kuaccess website yao cjaona kitu kama hicho
1 Reactions
0 Replies
366 Views
Back
Top Bottom