*Muda Huo Ni Mwaka 2018 Ajira Zimetoka Nimeshapangiwa Shule Nimeanza Ualimu Wangu Fresh Tu*
*Natokea Home Kwangu Muda Natembea Kuelekea Shule Na Kibegi Changu Mgongoni Ndani Kuna Mastering Na...
Ukiingia Olams ukaclick ile loan breakdown
Unaweza jaribu hata wewe ukalithibitisha swali langu
Ukishajaza vile vibox vyote bila ya kubonya mwishoni "Go" katika keyboard yako itaonyesha kuwa "YOU...
Serikali kupitia Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu, imekuwa ikiwakopesha wanafunzi wenye sifa za kujiunga na vyuo vya elimu ya juu nchini kugharimia masomo yao.
Katika utekelezaji wa...
Nimefanya transfer ya Chuo cha afya kupitia NACTE lakini kila nikijaribu kusearch result kupitia index no yangu inaandika not found had nitumie username yangu na password
Uongozi wa nchi wapeni nafas VIJANA wetu wasome acheni siasa kwenye elimu eti Mara GPA 3. 5 Mara 3. 9, mnakera Sana je walio na 2. 7-9 mnamikakati gani nao au ndo kutuandalia waharifu siku za...
Habari wakuu,
Kutokana na vyuo vingi kutoa majina ya wanafunzi waliobahatika kuchaguliwa kwenye vyuo husika, wengi wamekuwa wakipenda kujua kama chuo alichoomba kimetoa majina ama La, pia kujua...
Nimeona orodha inayodaiwa kuwa ya majina ya wanafunzi wa mwaka wa kwanza wanaonufaika na mkopo kwa mwaka wa masomo 2016/17. Orodha hiyo ina majina 3,966 tu. Ikiwa orodha hii ni ya kweli, na ikiwa...
Taifa linahitaji wataalamu wa aina zote, vijijini, mashuleni, mahospitalini na viwandani wanahitaji pia wahasibu, wagavi, watunza kumbukumbu na vifaa, kusanya ushuru, wanasheria, maafisa masoko...
Kumekuwa na ongezeko la wanafunzi katika ngazi mbalimbali za vyuo,lakini tatizo ni kuhusu mfumo wa vyoo vya kukaa hususani tunapotumia choo kimoja kwa watu takribani 10.Hapa kila mtu anaustaraabu...
1)Means test
an official investigation into someone's financial circumstances to determine wether They eligible For a welfare payment or other public funds
2)Priority
A thing that is regarded as...
Wanabodi, natumaini muwazima.
Naomba mnisaidie hili
Vigezo vinavyotumika kwa mtu mwenye diploma kusoma degree ni awe na GPA ya 3 na kuendelea lkn pia awe na D nne au zaidi ktk mtihani Wa kidato...
wakuu kwema?
Hii course inayotolewa na Dar es salaam Maritime Institute nahitaji sana kuijua kwa kina, Ina nini cha maana sana katika sea operations?
Nahitaji notes zake iwe kwa soft or hard...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.