Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Napenda kujua hili, kwa aliyeaahirisha chuo mwaka 2015, na alikuwa hana mkopo, lakini mwaka huu kaomba, je kuna uwezekano wa huyo mtu kupata mkopo bila usumbufu??
0 Reactions
0 Replies
908 Views
Wana JF kwa yeyote anayejua chochote kuhusiana na hiki chuo anipe Dondoo hususani mazingira, taaluma, Burudani na accomodation hapo chuoni.
2 Reactions
27 Replies
5K Views
Habari wana jf! OK, Mimi ni diploma holder niliaply shahada ya elimu, profile ilionesha nimechaguliwa katika moja ya machaguo (5) Ila nisubili chuo husika kini confirm. jana nikacheki nikawa...
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Wakuu kwa yule ambaye amepangiwa SUA Main campass na hataki kukaa hosteli kuna habari njemaa. Kuna chumba kinauzwa na vitu vyote ndani, yaani wewe unakuja na begi lako la nguo tu. Baada ya mimi...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
10) Ellen Johnson Sirleaf (Liberia) Elimu: Master of Public Administration (M.P.Adm.), Bachelor of Economics (BEc), Associate Degree in Accounting (A.A.) Ellen Johnson Sirleaf ni Rais wa 24 wa...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Habar zenu wadau.... Nimekua nikisikia kuwa mtu ukisoma kozi ya bachelor of science in biotechnology and laboratory sciences(inayotolewa SUA) unaweza kuja kusomea medicine doctor mbeleni.. Je...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu? Kama kichwa cha thread kinavyojipambanua kwa nini hawapendi kujitambulisha kwa kutaja majina halisi ya branch zao? Mwenye kujua sababu tafadhali tiririka kidogo
1 Reactions
184 Replies
30K Views
..Watu wanalalamika kuwa hawajapewa mikopo wakati kipindi kile walipuuzia Elimu Bure hadi chuo kikuu,wao na wazazi wao wakasema wanachagua chama cha Nyerere. ..waliimba nyimbo mbalimbali CCM ni...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Wakuu naomba msaada wa website ambayo iko active ya CBE campus ya Dodoma pamoja na tarehe ya kufungua first year..
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari za muda huu wana JF! Msaada kati ya Bachelor in science general vs Bachelor of environmental planning and conservation katka suala zima la ajira. Only skilled one are allowed.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanabodi tujadili hili, kwa kuwa bodi ya mikopo ya elimu ya juu kushindwa kukusanya madeni, hivyo kupunguza ufanisi katika utoaji endelevu wa mikopo kwa wanafunzi basi bodi ibaki kutoa mikopo kwa...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Nina mdogo wangu amefaulu vizuri kiasi, Ana division two ya 12 PCM. aliomba Engineering UDSM ila ametemwa kwenye first and second round, Kwenye third imebidi aombe Course nyingine...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
ugavi ni nini
0 Reactions
9 Replies
29K Views
Habari wakuu kwa wale wote mliochaguliwa DIT karibu vijana mpate kuwa wahandisi kwa una swali lolote usisite kuuliza ntakusaidia kadri ya nnavyofahamu
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Hii kitu nataka kuisoma pale SUA,naomba mwenye kuijua zaidi na soko lake la ajira hapa Tanzania likoje
0 Reactions
9 Replies
7K Views
Tafadhari waungwanwa naombwa mwenye join instructions form ya chuo kikuu Dodoma ya mwaka 2016/17 especially kwa facult ya education Ahsanteni
0 Reactions
7 Replies
2K Views
[emoji95][emoji95]KILIO CHETU[emoji95][emoji95] *Ujumbe huu uufikie umma.* Mnamo tar 19/02/2016 Serikali kupitia Tume ya vyuo vikuu (TCU) ili vifungia vyuo vikuu vishiriki vya Mt Joseph tawi la...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Jamani kuna mdogo wangu amechaguliwa mati- mtwara ORDINARY DIPLOMA IN GENERAL AGRICULTURE,(upgrading) sponsored by goverment na joining instruction ilieleza hvyo sasa ameenda na nimelipa pesa...
0 Reactions
1 Replies
764 Views
Nakumbuka Ulipokuwa Tabora Kwenye Kampeni Zako Za Kuomba Rudhaa Ya Wananchi Ya Kukuchagua Wewe Kuwa Raisi ili Uje Uwatatulie Shida Zao! Ulieka Ahadi Ya Kuwa →→→"Yeyote Yule Atakaechelewesha Mikopo...
0 Reactions
1 Replies
765 Views
naomba kwa mwenye taarifa za yanakopatikana majina ya wanafunzi wa kidato cha tano anisaidia au link maana nimeambiwa yameshatoka ila sijafanikiwa kuyapata.
0 Reactions
33 Replies
5K Views
Back
Top Bottom