Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Wanajamvi, kama kuna mtu mwenye kufaham juu ya chuo hiki tafadhali nahtaji msaada, Nipo Dar sasa ila Nimechaguliwa hapo. Kwenye web sikipati,simfaham yeyote alichaguliwa hapo na sina hata info...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Nianze kwa kukupongeza mdogo wangu uliyepata chuo bora kuliko vyote Tanzania. Naamini ni juhudi zako pamoja na Neema za Mungu upo hapo. mlimani chuo kizuri sana LAKINI umakini mkubwa sana...
1 Reactions
0 Replies
642 Views
wadau naomben msaada ....kwa diploma ya phamacy na clinical medigine ipi ni dili kwa miaka mitano au mbelen kwa ujumla........?
0 Reactions
20 Replies
8K Views
Nina mtoto wa ndugu yangu ni mlemavu anasubiria kupangiwa chuo hadi sasa bado ikishindikana kabisa tunataka akasome urusi kusema kweli inatuhuzunisha sana maana anahitaji uangalizi wa karibu...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Nahitaji kama kuna mtalaamu wa kutengeneza projects ajitokeze kuna project anatakiwa anisaidie...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Licha ya NACTE kuruhusu udahili kwa mara ya tatu kupitia CAS lakini kuna uwezekano mkubwa kwa waliohitimu Diploma kwenye vyuo vya mifugo Tanzania (vilivyo chini ya LITA) kukosa fursa ya udahili...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Wakuu habari zenu,niliapply ardhi municipal and industrial service eng nimepata DDE pcm wamenitema halafu ukiangalia bado haijajaa maana ipo katika course za second round na wao vigezo vyao ni...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
KUKANUSHA TAARIFA ZINAZOSAMBAZWA KUPITIA MITANDAO Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu inapenda kukanusha taarifa zinazosambazwa kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii kuwa imetangaza sifa...
0 Reactions
18 Replies
6K Views
Je mwenye postgraduate diploma anaweza kuaply kusoma bachelor kwa kutumia matokeo ya postgraduate?
0 Reactions
1 Replies
569 Views
Apo uyu ndugu angu aende wapi yupo njia panda, japo anapenda sana udactarii , amechanganyikiwa anahitaji ushaurii wenu wasomii humu ndani.
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Nasikia majina ya mikopo tiyari au maneno tu????
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Je Mwenye postgraduate diploma anaweza kusoma bachelor kwa kutumia matokeo ya postgraduate?
0 Reactions
0 Replies
557 Views
Wanabodi naomba mwenye experience ya maisha bila mkopo chuo yapoje ili nipate angalau picha itakuwaje kwa hawa vijana ambao dalili za kukosa mkopo zimekwisha anza kujionesha.
0 Reactions
55 Replies
9K Views
Naomba kwa anaejua hili anisaidie.... 1. Nina mdogo wangu kapangwa chuo cha st Joseph kusomea MD... Fees ni zaidi ya million 6 kwa mwaka... Je..akipata 100% kutoka HESLB inamaana hiyo yote...
0 Reactions
3 Replies
537 Views
wanajamii kwenye profile yangu nimeandkiwa "did not apply for higher education loan bod " iv hapa kuna nini ?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Jamn hii maana nini ndo ishakula au kuna jingine
0 Reactions
8 Replies
1K Views
What's the difference between was not allocated loan in first batch and Did not secure loan
0 Reactions
3 Replies
997 Views
let us share all about HKL...vikwazo,changamoto na mafanikio
0 Reactions
46 Replies
4K Views
Habari wana jf Hivi nini hatima ya watu wasihudhuria katka vyuo walivyochaguliwa mwaka jana. Je wamepewa nafasi hiyo mwaka huu ama lah
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Back
Top Bottom