Habari wakuu,
Mada zinazohusu bodi ya mikopo zimekuwa nyingi jukwaani kutokana na kipindi hiki kuwa cha ujazwaji wa fomu husika, hatusemi kuwa tunakuwa mbadala wa HESLB katika kujibu maswala...
Ratiba ya mihula ya vyuo vikuu inafahamika. Inafahamika pia kuwa kuna wanafunzi ambao hawana namna nyingine ya kusoma bila mkopo.
Kama vyuo vimefungua hawa heslb wanadhani watu watajikimu kwa...
HI..........................................
NDUGU ZANGU MIMI NIMEPATA NAFASI YA KUSOMEA UTAALAMU WA MAABARA ZA BINADAMU NGAZI YA DIPLOMA.ILA KWA SASA NASOMA UALIMU NGAZI YA DEGREE KATIKA CHUO...
Wakuu,
Tovuti ya IFM, www.ifm.ac.tz imepigwa kipapa na hackers. Ilikuwa miongoni mwa tovuti dhaifu kabisa nchini ingawa inadaiwa chuo kinazalisha wataalamu wa IT.
Ikiwa imeondolewa hewani...
MAJINA YA WAOMBAJI WAPYA WA MIKOPO KWA 2015/2016
Tunapenda kukufahamisha kuwa Awamu ya Kwanza ya orodha ya majina ya waombaji wapya wa mikopo kwa mwaka wa masomo 2015/2016 inapatikana kupitia...
Naomba kusaidiwa kwa hili, leo kila nikifungua website ya Open University of Tanzania yaani www.out.ac.tz kinachokuja ni muziki wa kiarabu.
Nisaidieni niweze kufungua web hiyo.
Ndugu zangu poleni sana kwa majukumu ya kila siku na mawazo makali kwa wale ambao bado tulikosa mikopo kwa first batch ya bodi ya makopo.Ilihaidiwa kuwa tarehe 1/10 zingetolewa form za kukata...
Habari wana jamvi.
Poleni kwa wale waliokuwa katika heka heka za selection ya chuo na maswahibu yake kupitia TCU. Ila tushukiru mungu hadi hapa tulipofika.
Okay naomba niende moja kwa moja...
Mimi ni kijana wa miaka 19 Baada ya kumaliza kidato cha 4 mwaka 2014 katika shule ya serikali na kupata GPA 0.6
Yaani
Math F
Civics E
Kiswahili C
Geography F
History D
Biology F
E.Language D...
habar .kuna baadhi ya watu majina yetu yapo kwenye link ya TCU Tumechaguliwa vyuo lakin tukiangalia kwenye list ya majina chuoni hatupo .mfano mm TCU wamenionesha nimechaguliwa UDOM lakin kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.