-Kati ya hizo program mbili ipi yenye wigo mpana kwenye kusoma?
-Ipi yenye wigo mpana kwenye ajira na kujiajiri?
-Ipi ni ngumu na ipi ni rahisi?
Mawazo yenu wadau bila kuangalia inatolewa kwenye...
Yaani tangu wanafunzi walipoomba kozi za degree Julai 30, mpaka leo Oktoba 13,profile hazielezi umechaguliwa kwenda wapi ila tu eti "Umechaguliwa, tunasubiri uamuzi wa mwisho wa chuo..."
Ndio...
habari . round ya 1 nilikosa .round ya 2 niliomba TCU halaf nikafuta program zote kwenye profile yang .nikaomba MUM direct chuon bila kupitia TCU. ss hv nikiangalia profile Yang TCU nimeandikiw...
Kuna group whatsaap kwa ajili ya member kutoka college zote za udom, lengo ni kupeana info za hapa na pale za awali...kama utakuwa interested check me whatsaap 0625641036..
Hatimae chuo kikuu MUM kimetangaza majina ya wanafunzi walioomba mkopo kwa ajili ya masomo yao chuoni hapo,kwa awamu ya kwanza.
Dropbox - APPLICANTS WHO ARE CONSIDERED TO RECEIVE MUM LOAN.pdf
salaam wana jf,
naomba kwa anaesoma iyo course kwenye chuo icho au anaeifahamu anijuze yafuatayo: 1 uwezekano wa mkopo
2 ugumu wa course
3 uwezekano wa ajira
4 walimu
na mengine mengi ambayo...
Naomba kuuliza kwa wenyeji wa SUA, ili mwanafunzi wa mwaka wa kwanza wa shahada aruhusiwe kufanya registration ni lazima alipe sh. ngapi? Nauliza hivyo kwa sababu pesa ya kulipa tuition fees sina...
jamanii naombeni ufafanuzi na tofauti kati ya Technician certificate na basic technician certificate
na Kama ukimaliza miaka 2
ya technician certificate unaongeza tena 3 ya diploma au hapo inakuwaje
Wadau hii imekaaaje mpaka vyuo vya serikali vinafunguliwa hawaja release majina ya wanafuzi waliopata mikopo? Maanake hii haijawahi kutokea au ndo kusema hawana hela nini? Daah bodi ya mikopo...
habari . naomben ushauri wenu ,round ya kwanza niliomba TCU UDSM, DUCE,MUCE, UDOM Nikakosa , round ya pili cjaomba tcu nilienda MUM kuomba chuo direct mum wakanichagua , jana tcu wameonesha vyuo...
Nakumbuka nilipokuwa mtoto watu wazima wakiniuliza,"ukiwa mkubwa unataka kuwa nani?" niliwajibu "nataka kuwa daktari kwani napenda nije kuwasaidia wagonjwa"
Wazazi wangu ni maskini lakini...
Je umechaguliwa Udom? Ama umeapply na bado unasubiri majibu? Wanafamilia wenzako tunapenda kukukaribisha uwe mmoja wetu.. Utaweza kupata taarifa na habari kuhusu mambo yote kuhusu chuo, na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.