Salaam wana forum..Kuna ndugu yetu alipata div 3 kidato cha sita hivo kukosa sifa za kuendelea na chuo hivo ikabidi atumie cheti cha form four ambapo alipata div 1 kuomba diploma ya engineering na...
Je kuna mazingira ambayo yanaweza kupelekea nacte wakajumlisha GPA za NTA level 5 na 6 ili waweze kupata cumulative GPA za mtu kwenda bachelor? Nasema hivi coz kuna habari alizipata ndugu yangu...
Niko na degree ya BCOM(in Accounting) na Advanced diploma in taxation. Now nataka kusoma Masters mwakani. Je ni master ipi bora based on my past academics?
Habar wana jf kuna mtu yeyote alieapply centre of foreign relations na hajaona jina lake mpaka sasa na amewasiliana na Tcu labda kwasababu mi nimechoka kusubir
Wadau naomba msaada kuhusiana na hiyo coarse ya hapo juu, nimechaguliwa UDOM VP hiyo coarse wadau ipo Marketing, naombeni ushauri wenu wadau!!!!!!!!!!!!!!
Vijana wengi tunajiuna na vyuo vikuu kusoma engineering sababu ya nchi ya viwanda na wengi wetu tumekimbilia:
Industrial
Civil
Electrical
Agriculture and nk,
Swali: Je tupo sawa kwa 100%?? Na...
Habari wakuu
Naomba kufahamishwa kuhusu hii fani ya software eng kwa anaye ijua vizuri hususan kwenye kaz zake niliomba electrical dit na software udom sasa dit sjachaguliwa hvo nasubiri second...
Naomb msaada nmechaguliwa dodoma nataka nihame niende Chuo kingne mfano IFM, NIT, DIT.
Naenda Courses computer science nilichaguliwa Bachelar of science in information technology
=======...
Haiwezekani kumwambia mtu hajameet vigezo 1st round baadae huyo mtu anaapply for 2nd round na baada ya majibu ya 2nd round kutoka anakuta kachaguliwa coz aliyoapply 1st round.Next time kuweni makini.
kwa first year wote waliochaguliwa udom-college of informatics and virtual education (CIVE) 2016/2017 tukutane hapa uliza swali lolote utajibiwa! karibuni sana na hongereni sana kwa kuchaguliwa...
kwawale wa udom ivi kuna mtu aliyeipata admissio letter na ni kwanjia gani tusaidiane
tuambine uku jf uko whatsapp kwenye ayo magrupu wengi simu zetu azina uwezo tupeane taarifa kwa wote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.