Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Ni vyuo vikuu gani hapa kwetu vinavyostahili hadhi hiyo. yaani visivyo na ubabaishaji ktk elimu.
1 Reactions
47 Replies
9K Views
  • Closed
Loan board wameshaachia majina kwa mujibu wa taarifa ya habari usiku huu
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Kama upo sautmbeya.ac.tz nione
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Click here
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Naamini humu kuna wenzetu wametutangulia katika viwango vya elimu ...hivyo basi Naomba mtusaidie ni vitu gani huwafanya au kuwachochea vijana wengi wanapo ingia chuoni kubadilika na kujiingiza...
3 Reactions
52 Replies
5K Views
Wadau mpooo. Nina smartphone kila nikitaka kudownload application kwenye play store naletewa Ujumbe huu "Authentification is required. You need to sign into your Google account." What should I do...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Hatushindwiiiiii
0 Reactions
2 Replies
681 Views
Vipi kweli wametoa???
1 Reactions
1 Replies
893 Views
*BIBLIA INA VITABU 66,SASA CHUKUA 66 TOA UMRI WAKO KISHA JUMLISHA 50 ...UTAPATA MWAKA WAKO WA KUZALIWA....* *#JINA LA BWANA LIPEWE SIFA* Naombeni kueleweshwa kuhusu logic ilotumika hapo juu...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Wanajamii kama kuna mtu anaifahamu hii kozi kwa undani na ajira zake apo baadae anisaidie tafadhari.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
nikiingia kwenye account yangu naambiwa "didn't apply higher education students loan board 2016/17 sasa Kama sikuomba nawezaje kulog in kwenye account Yangu mwenye uelewa na ili anisaidie plz.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Waungwana, nawasalimu. Naomba msaada ndugu zangu mwenye admission letter za mzumbe 2016/2017 especially Mbeya campus anisaidie. Au mwenye kufahamu chuo kinafunguliwa lini na first year wanaanza...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
ingia TCU cas then ingia view provision result for2016/17 then search kwa form4 au form6 index namba au namba ya simu TCU CAS | View Provisional Results
3 Reactions
29 Replies
6K Views
Nilifanya application chuo fulani kupitia NACTE na nimetumiwa e mail na chuo husika bila kuambiwa kozi niliyochaguliwa Ni uswahili?
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Nimecheki prof yangu now naambiwa system ina run for selection,kivipi iwe ivi ilihali deadline aijafika ambayo ni tar 16?
0 Reactions
5 Replies
833 Views
Ninaomba msaada kwa mwenye uzoefu au ambaye alishawah kuhamia chuo kingine inakuweje mana ikitokea chuo unachotaka kuhamia kinafungua tarehe Za mwez wa kumi na moja, afu...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
jamani naombeni ushauri wenu, degree ya kwanza nimesoma Bchelor of tourism management, na kwasasa nina plan ya kusoma master of project management pale open university of Tanzania, vp ndugu zangu...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Juzi tu serikali ilitoa orodha ya vyuo ambavyo havitaruhisiwa kupokea wanafunzi na Chuo cha hurbert Kairuki kilikuwepo,lakni nashangaa majina ya waliochaguliwa Kairuki yametoka,yaani hii sirikali...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Naomba kuuliza kwa wenyeji wa SUA, ili mwanafunzi wa mwaka wa kwanza wa shahada aruhusiwe kufanya registration ni lazima alipe sh. ngapi? Nauliza hivyo kwa sababu pesa ya kulipa tuition fees sina...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Back
Top Bottom