Tumetengeneza group whatsaap sasa lengo nikujuzana na kuhabarishana mambo mbali mbali hasa kuhusu Selection na Mengine yahusuyo Elimu na Vyuo hususani chuo cha UDOM
Kama unahiitaji cheki hapa...
Ndugu zangu,
Haijalishi umesoma kiasi gani lakini mafanikio katika maisha ni vile wewe mwenyewe unanidhamu kiasi gani maana kuna watu wengi waliofanikiwa na hawajapitia au hawakua wakifanya vizuri...
Miongoni mwa vyuo vya zoa zoa ni Dodoma hiki chuo kinamambo ya ajabu sana
Yaani kweli divisheni four mtu anasoma university
Au ndo maana wanakiita cha kata
Wakuu habari zenu,
Nikuwa selected UDSM kwenye provisionally results by TCU course ni enviroment and Geography studies na nilijaza first round hii caurse,
Second round hawakuitolea majibu hii...
inauma sana aiseee..... kilq siku account kwenye chet kunajiandika update..... na chuo watu tumekosa ... tukaamua kwenda nacte jana but jibu lililokuja aiseee unakata tamaaa... eti matokeo...
Jamani naombeni msaada,
Kuna hiki chuo cha National Institute of Transport mpaka leo bado hakijatoa majina ya first degree waliochaguliwa kuingia pale kwa mwaka 2016/2017 na me na hisi...
habari . round ya 1 nilikosa .round ya 2 niliomba TCU halaf nikafuta program zote kwenye profile yang .nikaomba MUM direct chuon bila kupitia TCU. ss hv nikiangalia profile Yang TCU nimeandikiw...
Hatimaye bodi ya Mikopo imeweka mambo hadharani baada ya kimya cha muda mrefu
TAARIFA KWA WAOMBAJI WA MIKOPO KUHUSU KUMALIZIKA KWA ZOEZI LA KUREKEBISHA TAARIFA ZA WAOMBAJI
Bodi ya Mikopo ya...
Nimekuwa nikijiuliza hivi tuna Tanzania Education Regulatory Authority iweze kusimamia na kuboresha sekta ya elimu.Shule za English medium wanajipangia tu kiasi cha karo bila kujali hali halisi ya...
Wadau nimesikia eti leo asubuhi body imeachia baadh ya majina ya watu walio pata mkopo. Kwa wataalam wa heslb tuambieni ukweli.. Na kma ni kweli naombeni proces za kuingia kwenye body pg ili nami...
Habari wana jukwaa,kwa msaada wangu na wengine pia,naomba msaada
kwa anaye kifahamu chuo hiki cha IAA,hasa kwa upande wa accomodation.Vipi hoster zao unapataje,bei yake,ni kweli maisha ya Arusha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.