Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Aiseee naomba msaaadat kufahamu process kama umepoteza cheti cha form four unaanzia wapi na cost itakua ni shi ngapi
0 Reactions
4 Replies
827 Views
Wadau naomba kujua, je inawaezekana kwa mtu aliesoma foindation course kujiunga na chuo chochote?.
0 Reactions
2 Replies
747 Views
Mwenye. Kujua naomba anielekeze nijue profile inasemaje
0 Reactions
1 Replies
860 Views
Jamani wapendwa naombeni munisaidie kufahamu zaidi kuhusu ajira za computer science and engineering kwa hapa Tanzania na nje za nchi naomba ujuzi pia nimepangiwa kusoma hiyo facuty, je nikasome...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
CHEMSHA BONGO Question. mke wa kipofu anatembea na kiziwi na bubu ndio anajua siri hiyo je atamwambiaje kipof na haoni? ukipata nakutumia vocha saiv
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Heshima kwenu wadau, naomba kujua kwa yeyote anaeifahamu shule hiyo ya Sec Uparo anipe wasifu wake kidogo, ipo sehemu gani, je ipo karibu na kisenta chochote au ni ndani ndani, mandhari yake...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Chonde chonde walimu naona technolojia hii sasa itatutoa ktk ethics za ualimu. Clip hapo chini ya wanafunzi waliokutwa na Bangi na Viroba wakati wa masomo. Walimu wamerecord na kuirusha hewani...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Wapendwa; Nawasalimu nyote :: Lengo la kuanzisha Uzi huu ni "Kutaka kufahamiana na kupeana taarifa mbali mbali kwa wanafunz waliochaguliwa chuo kikuu cha bugando 2016/2017 Nimeona ni jambo jema...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Kwa tuliochagulia karume inst,nimewasiliana nao,masomo yameshaanza 01.08.2016,EB tutafutane kupitia hii no 0767874060
0 Reactions
0 Replies
580 Views
1.Nilitaka kufaahamu je kwa mtu ambae ni mtumishi wa serikali Ambae ulikuwa unasoma chuo na afu alikuwa mnufaika wa mkopo wa ELIMU YA JUU sasa akatokea AMEDISCONUE kuendelea na chuo je anaweza...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hivi ukienda chuo first year kunakuwa na field mfano faculty ya BAEd??? Msaada plz
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kurudia mtihani kuna ugumu wowote na vipingamiz vyovyote ambavyo vitakufanya ucperform fresh je mnaushauri mtu kurudia mtihani kwa 4m 6 msaada kwa anaejua?
1 Reactions
0 Replies
398 Views
Hello, anayeelewa jinsi ya kuomba masters zinazotangazwa na nchi zilizoendelea anisaidie plzzz. vigezo vyote ninavyo kwa ajili ya masters 2017/2018 na nimeona application nyingi zinafungwa october.
1 Reactions
3 Replies
2K Views
DIT hapa chini: Bonyeza hapa MUST hapa chini: Bonyeza hapa ATC hapo chini: Bonyeza hapa
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Naambiwa hivo cjui tatzo nini mimi
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Kuna mdogo wangu kachaguliwa hizo course mbili lakn vp kuhusu solo la ajira la environmental health scientists, wanaajiriwa direct serikalini au hadi nafasi itokee?
0 Reactions
19 Replies
7K Views
jiunge na whatsapp group kwa hii linkhttps://chat.whatsapp.com/CgTkH3TUAJr9KeByHlP5Yp
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wanafunzi wa shule ya msingi Nakatete, iliyopo halmashauri ya wilaya ya Nanyumbu mkoani Mtwara wanalazimika kusomea chini ya miti ya mikorosho kutokana na uhaba wa vyumba vya madarasa unaoikabili...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Habari wandugu! Naulizia kama selections za Bachelor pale DIT kwa mwaka huu zimeshatoka. Kwenye website yao hakuna, ila naona kuna watu wana info tayari. Mtu yeyote mwenye info juu ya selection...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
hostel za duce zilizopo mbagala zipo mzuka, wale wanaolilia mabibo wasubiri kufulia kwani pande hizo malaya wapo kibao!
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Back
Top Bottom