Habari zenu wadau ndani ya jf, kama title inavyojieleza naomba msaada wa ufafanuzi juu ya tofauti ya njia/namna nilizoziandika hapo juu kuhusu usomaji wa shahada ya pili. Natanguliza shukrani...
Habari zenu ndugu,
Naombeni ushauri kuhusu course ya pharmaceutical science maana kuna watu wengi baadhi wanasema ni course ambayo hainaga dili kabisa wanadai bora kusomea ualimu tu na sio hii...
Nina mtt wangu wa kike pale nyumbani Mwenge na anasoma day ,naomba kwa mwalimu ambaye tunaweza kuelewana malipo ya mwezi ani PIN
Sifa
Mwalimu mwenye sifa angalau katika masomo 3
Muda masaa 3...
habari zenu wakuu!!!
nashindwa kuelewa hiki chuo kina sifa zote kinachopewa?
mpaka sasa wahitimu wake(diploma) wa kozi za civil, mining na laboratory technology hawaoni matokeo yao kwenye...
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu imekamilisha zoezi la kurekebisha fomu za maombi ya mikopo kwa waombaji wa mikopo kwa mwaka wa masomo 2016/2017. Zoezi hilo lilianza tarehe 3 na...
Habari wakuu
Kwa wanao vijua hivi vyuo viwili DIT na MUST heb tunaomba mtujulishe mwaka wa masomo 2016/17 unaanza lini ili tusijichoshe sana kusubir selection kumbe kitu ni mwezi huu mwishoni...
hellow, kama unaish kitunda shule au maeneo ya jirani na bado unasugua benchi lakini unao uwezo wa kufundisha masomo ya sekondari na msingi tukutane tuanzishe tuisheni, ili tusikose hata hela ya...
Natanguliza heshima.
Naomba kufahamu yafuatayo huko chuoni.
Nimechaguliwa sua ila wasisi wangu ni hivi.
1:boom inakuaje kabla sjapata mkopo na je nkikosa mkopo boom ntapata?
2:inakuwaje kureport...
Naomba kujua tofauti za kitaalamu ya hizi course katika Teaching content na kitu ambacho mtu anakua anaandaliwa kuwa(speciality).
Bachelor of Science Education
Bachelor of science with Education...
nikiwa kama mwalimu mwanafunzi wa UDSM roho inaniuma pale mwalimu anapojulikana kafanya kosa lakini apewi nafasi ya kujitetea kwa nini kafanya kosa na anahukumiwa moja kwa moja au kushushwa cheo...
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu imekamilisha zoezi la kurekebisha fomu za maombi ya mikopo kwa waombaji wa mikopo kwa mwaka wa masomo 2016/2017. Zoezi hilo lilianza tarehe 3 na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.