Wakuu salaam, mdogo wangu amechaguliwa chuo ambacho ni chaguo lake la mwisho, je kuna uwezekano wa yeye kuhama chuo? Na je kama upo utaratibu wake unakuwaje?
Vipi wadau naweza soma degree open university of Tanzania baada ya kumaliza, Naweza kujiunga masters na vyuo vikuu ambavyo sio open.
Na je ni GPA zipi? Zinatakiwa
Habari zenu wasomi, jana tarehe 10 wengi wetu tulitumiwa ujumbe na tcu kwenye profile zetu unaosema , you have been provisionally selected and the program selection shall be final when the...
Ikiwa Leo juma 5 alafu chakula cha usiku nikala sa 6 usiku apo niite nimekula Leo au nimekula kesho??? Na kama nimekula Leo kivp Wakat chakula kilikua Nile juma 5 kwa nini nisiseme nimekula kesho...
Kuna ndugu yangu anasoma Tumaini University of Iringa anaingia second year sasa kakwama ada anajiuliza atawezaje kupata sponsorship ili aweze endelea kusoma. Wadau mtusaidie
Wakuu
Katika mishe mishe zangu nimepita chuo kimoja cha afya
nikashangaa kuona jezi mpya kabisa nilipoulizia nikaambiwa hiyo ni coz mpya ya afya inaitwa COMMUNITY HEALTH lakini sikupata detail za...
Wanajamvi!
Tuanzie Ardhi University:
Kuna Programme inaitwa Bsc in Information Systems Management. Ni program ya miaka 3.
Sifa za kupata:
Two principal leve passes (minimum 4 points) in any of...
List of Selected Students to Join Doctor of Medicine Programme
List of Selected Students to Join Bachelor of science in Optometry
List of Selected Students to Join Bachelor of science in Health...
Wakuu,
Hivi kama umepangiwa chuo na unatakiwa kureport hivi karibuni lakini mkopo bado haujatoka na hauna uhakika kama utapata.
Ada ya chuo inakuaje, unalipa yote au kuna utaratibu wa kusubiri mkopo.
Ni muda walimu kuisoma namba, ona walichofanyiwa walimu na wanakijiji baada ya serikali ya wanyonge kuwaaaminisha wanyonge kuwa walimu ni wabaya wa watoto wao.
Tusubiri kuona wanafunzi nao...
Wamesha update aris ili uweze kupata Joining Instructions na Documents mbalimbali za kujiunga na chuo link hii hapa
http://aris.mzumbe.ac.tz:8080/login
Username yako ni Index No ya F4
Password...
Je Kuna diploma holder yeyote aliyeapply nacte mwez wa Tatu ambaye profile Lake linasema kachaguliwa chuo gani mana Jana sa tano ucku ndio profile Za diploma holder...
Kwa aliye pata joining instructiong udom anijuze first year wanaanza kuripot tarehe ngapi maana naona tangazo lao kwenye UDOM Alis linasomeka hivi[emoji116] [emoji116]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.